Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tuesday, August 28, 2012

In Love with Our Kardashian Kollection Clutches


New Kardashian Kollection for Sears Clutches


How fab are our new Kardashian Kollection clutches?


New Kardashian Kollection for Sears Clutches




New Kardashian Kollection for Sears Clutches

Sundays Are All About Family by kourtyney Kardashian

Kim and Kourtney Kardashian take children Mason and Penelope to church, Los Angeles.
She grew up going to church on Sundays so it is a special feeling to go as an adult and get to bring her children. Sundays are all about family no matter what. Kim spent the night with them on Saturday night so they could all spend the day together on Sunday.
she is  wearing a Kymerah dress (Dash), Pencey blazer (Dash), Giuseppe Zanotti sandals and Prada diaper bag.
Mason is wearing a Ralph Lauren shirt, Ralph Lauren shorts, vintage belt and Minnetonka moccasins.

Kim and Kourtney Kardashian take children Mason and Penelope to church, Los Angeles.

mmmh


Kim and Kourtney Kardashian take children Mason and Penelope to church, Los Angeles.


Kim and Kourtney Kardashian take children Mason and Penelope to church, Los Angeles.


KOURTNEY KARDASHIAN ANENEPA EEH UZAZI MTAMU CHEZEA
Kim and Kourtney Kardashian take children Mason and Penelope to church, Los Angeles.

Kim and Kourtney Kardashian take children Mason and Penelope to church, Los Angeles.

Endless Fame ‘kuifufua’ Diamond Sound Septemba






na mwandishi wetu
KIONGOZI wa zamani wa bendi ya Diamond Sound ‘Dar es Salaam Kibinda Nkoi’, Ibonga Katumbi ‘Jesus’ mwezi ujao ataungana na baadhi ya wanamuziki wengine wa kundi hilo katika onyesho la Usiku wa Sauti na Marafiki wa Kweli litakalofanyika katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Mwanza na Zanzibar.
Akizungumza mjini Dar es Salaam jana, mratibu wa tamasha hilo Martin Kadinda ‘Single Button’ alisema onyesho hilo linahusisha wanamuziki wakongwe ambao wataungana na Jesus pamoja hao wa Diamond.
“Kila kitu kinaenda sawa aliyekuwa amealikwa kwenye onyesho ni Jesus lakini katika onyesho hilo atatakiwa kuimba nyimbo zake kadhaa ambazo alitamba nazo akiwa Diamond na Beta Musica kwa hali hiyo alishauri aite wenzake ili wamsindikize.
“ Kutokana na heshima walijengeana wenzake walikubali kumsindikiza, kwa hiyo mashabiki wa Kibinda Nkoi baada ya miaka 12 wataweza kuwaona tena Ibonga Katumbi, Richard Mangustino, Wayne Zola Ndonga na Alain Mulumba Kashama wakisimama pamoja na kuimba tena nyimbo zao kali,” alisema Kadinda.
Kadinda alisema lengo kubwa la onyesho hilo ni kuthamini muziki wa zamani na kufundisha matumizi ya vyombo vya muziki.
Katika onyesho hilo pia watakuwepo wapiga magitaa kama Elly Chinyama, Adolph Mbinga, Marcis Mengi na mpiga drum wa mwisho kuipigia Diamond Sound Kata Nyama Serikali.


Baadhi ya nyimbo zitakazopigwa katika onyesho hilo ni pamoja na Neema, Mugheni, Chance, Jetou, Bana Beta, Midabwada na Infarouge.  Kadinda alisema wanamuzki wengine watakaoshiriki kwenye onyesho hilo wataendelea kutangazwa.

FIESTA 2012 TANGAAAAAAA.

Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego pichani kati mwenye kipaza sauti akisoma namba za washindi waliojinyakulia piki piki mbili zilizotolewa na kampuni ya Push Mobile,wa tatu kulia ni Meneja Masoko wa kampuni ya Push Mobile,Rugambo Rodney na mwisho kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Clouds Media Group,Joseph Kusaga,na nyuma kabisa ni Mkurugenzi wa utafiti Clouds Media Group,Ruge Mutahaba pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti,Ephrahim Mafuru wakishuhudia tukio hilo usiku huu kwenye uwanja wa Mkwakwani ambako tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linafanyika.
Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Clouds Media Group,Joseph Kusaga usiku huu mara baada ya kuwataja washindi waliojishindia piki piki mara baada ya kuchezeshwa bahati nasibu,wakati tamasha la Serengeti Fiesta 2012 likiendelea,pichani kati ni Afisa Mahusiano wa Clouds Media Group, Simon Simalenga.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nuru akitumbuiza jukwaani usiku huu na shabiki wake mbele ya wakazi wa jiji la Tanga wanaondelea kutiririka ndani ya uwanja wa Mkwakwani ambako tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linafanyika.
Msanii kutoka THT,ajae kwa kasi katika anga ya muziki wa bongofleva aitwaye Rachel akiimba jukwaani usik
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nuru akitumbuiza jukwaani usiku huu na shabiki wake mbele ya wakazi wa jiji la Tanga wanaondelea kutiririka ndani ya uwanja wa Mkwakwani ambako tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linafanyika.
Msanii kutoka THT,ajae kwa kasi katika anga ya muziki wa bongofleva aitwaye Rachel akiimba jukwaani usiku huu.
uru akiimba kwa manjonjo na shabi wake jukwaani usiku huu.
Dj Zero kutoka Clouds FM akikamua ngoma 
Sehemu ya umati wa wakazi wa Tanga wakifuatilia kwa makini makamuzi ya Fiesta usiku huu.

NAPE NNAUYE ALIPOZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari,  katika ukumbi wa Sekretarieti, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.(Picha na Bashir Nkoromo).
Wanahabari wakimsikiliza Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye wakati akizungumza na waandishi wa habari,  katika ukumbi wa Sekretarieti, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.(Picha na Bashir Nkoromo).

Monday, August 27, 2012

I’m really into red nails! I think red is such a classic color…



As you all know, I love switching up my nail color to fit my mood! I think the color of your nails can really express how you’re feeling and can completely finish off a look.

Now I’m really into red nails! I think red is such a classic color…
so feminine and sexy. It’s so timeless you can literally match it with
any outfit. Rihanna
is the ultimate red nail-ed diva! I love
how she experiments with her nails, or matches the red nails with her
lip color to make a statement. She’s definitely one of the most daring
and risque ladies in pop! I can’t wait for her new album to come out
next month… I know I can rely on her for some upbeat workout tracks!!!

The New Kardashian Kolors Spring Ad!

Kim Kardashian Kolors Spring Nail Polish Ad Nicole by OPI

What do you guys think of the new Kardashian Kolors ad? they wanted a fresh new look for spring! the new spring kolors are available exclusively at CVS this month.


Kardashian Kolors for Spring 2012




"I am so excited that our Spring 2012 Nicole by OPI Kardashian Kolors line is coming this month! How fab are these colors? We wanted to give you guys a nice selection of vibrant brights, neutral nudes and classic sparkles!! Click through the gallery to see each color! Which kolor is your favorite? The nail polishes are available exclusively at CVS this month!! by Kim Kardashian.

Friday, August 24, 2012

Baadhi ya Viongozi wa Dini ya Kislam kutoka Jumuiya na Taasisi za Kiislamu waliokuwa wakipinga zoezi la sense ya watu na makazi waungana na Watanzania wengine kushiriki zoezi hilo


Ikiwa imebaki Siku moja kuanza kwa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi kwa nchi nzima baadhi ya Viongozi wa Dini ya Kislam kutoka Jumuiya na Taasisi za Kiislamu waliokuwa wakipinga zoezi hilo wamejiengua katika Jumuiya na Taasisi hizo na kuungana na Watanzania wengine kushiriki zoezi la Sensa ya Watu na Makazi.
Akizungumza Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Taasisi ya Islamic Peace Foundation, Sheikh SADIKI GODIGODI amevitaka Vyama vya siasa nchini kuacha tabia ya kuwatumia baadhi ya Viongozi wa dini kuanzisha migogoro na Serikali likiwemo suala la kuwashawishi waumini wa Dini ya kiislam kutoshiriki zoezi la Sensa ya Watu na Makazi.
Katika hatua nyingine Sheikh GODIGODI ameeleza kusikitishwa kwake na baadhi ya Watu kusambaza ujumbe wa simu kwa Waumini wa Dini ya kiislam ukiwataka kutoshiri zoezi hilo na kuwataka Waislam kote nchini kupuuza ujumbe huo na kuwataka kushiriki ipasavyo katika Sensa ya Watu na Makazi kwani ni haki yao.
Kwa upande wake mmoja wa Wahadhiri aliyejiengua kutoka kwenye Jumuiya na Taasisi za kiislam ambao wanapingana na zoezi hilo, amesema kwamba amifikia uamuzi wa kujitoa katika Jumuiya hiyo kutokana na kutoona mantiki ya kupinga zoezi la Sensa ya Watu na Makazi kutokana na umuhimu wake katika utekelezaaji wa maendeleo nchini.

Amsha amsha ya tamasha la Serengeti Fiesta 29012 yazidi kuwazindua wakazi wa mji wa Moshi na vitongoji vyake

Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mjini Dr Msengia  akiaga baada ya kuitembelea timu Serengeti Fiesta 2012 Mkoa wa Kilimanjaro jioni ya leo. Katikati ni Erick Kussaga ambae ni Mzalishaji wa timu ya Fiesta mkoani humo.
Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mjini Mheshimiwa Dr Msengi akiwa na Afisa Uhusiano wa Clouds Entertainment Co. LTD kwa upande wa Viongozi wa Taasisi za Serikali na Vyama vya Siasa Ndugu Simalenga Simon wakati Mkuu huyo wa Wilaya alipoitembelea timu ya amsha amsha ya tamasha la Serengeti Fiesta 2012 Mkoani Kilimanjaro jioni hii.Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 linatarajia kuzinduliwa rasmi kesho katika uwanja wa chuo cha Ushiriki mkoani humo,ambapo msanii nyota kutoka nchini Kenya,CMB Prezoo ataliongoza jahazi la wasanii mbalimbali kutoka hapa nyumbani,katika tamasha hilo kiingilio kimepangwa kuwa ni shilingi 5000 kwa kila kichwa. 
Mmoja wa washabiki wa tamasha la Serengeti Fiesta damu akiwa na fulana yake ya tamasha hilo lililowahi kufanyika mjini moshi lililopachikwa jina la jipanguze kama uonavyo pichani.Wanaharakati anuai wa tamasha la serengeti fiesta 2012 leo wameamsha amsha wakazi wa mji huo katika maeneo mbalimbali ikiwemo Himo,Stendi kuu ya mabasi pamoja na soko la Mbuyuni na kutoa zawadi ya mafuta ya gari/pikipiki na bajaji kutoka kampuni ya Gapco ambayo ni sehemu ya wadhamini wa tamasha hilo,kwa watu kadhaa ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za awali ya tamasha lenyewe.
 
 
picha za matukio kwa hisani ya Fullshangwe .