Alizaiwa ma kupewa jina la
Leonardo Wilhelm DiCaprio
Akapewa AKA yake kama
Leo
Lenny D
Height ni 6' (1.83 m)
Leornad dicaprio mmoja wa wacheza Movie mahiri sana ambae kwa sasa anatikisa katika m\Movie ya Inception
MSHAHARA ANAOLIPWA KATIKA MOVIE ALIZOWAHI KUCHEZA AU KUSHIRIKI..
| J. Edgar (2011) | $2,000,000 |
| Inception (2010) | $59,000,000 (includes salary and all back end points off worldwide gross + share of DVD and pay-TV revenue) |
| Blood Diamond (2006) | $20,000,000 |
| The Departed (2006) | $20,000,000 |
| The Aviator (2004) | $20,000,000 |
| Catch Me If You Can (2002) | $20,000,000 |
| Gangs of New York (2002) | $10,000,000 + Gross Points |
| The Beach (2000/I) | $20,000,000 |
| Titanic (1997) | $2,500,000 |
| The Basketball Diaries (1995). So sorry ladies leonardo kafunga pingu za maisha na mwna dada mrembo Kate Winslet Habari ndio hiyo. DAVID BECKRHAM alizaliwa 2 May 1975, huko Leytonstone, London, Uingereza | $1,000,000 |



























