Leo dunia inaadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habarimay 3.
Pia katika nchi za nje ya bara hili tumesikia wamiliki, wahariri, waandishi wa habari wakidhibitiwa na mamlaka zinazotawala nchi au wakidhibitiwa na watu wachache wenye uwezo wanaozimiliki mamlaka zinazotala.
Uhuru wa vyombo vya habari maana yake halisi ni nini….???
No comments:
Post a Comment