karibu kuendekea kuona picha za matukio mbali mbali ambayo yalifanyika moshi katika chaguzi tofauti za ndani ya chama.
nikiwa miongoni mwa wagombea wa nafasi ya uwakilishi wa UWT kwenda vijana ambapo niliibuka mshindi kwa kishindo sina budi kuwapa shukurani za dhati na za kipekee wapiga kura woote ninacho ahidi ni kuwa nimeamua sasa kazi ni moja wataona kwa matendo na sio maneno.
POZI NIKIWA NA MH BETTY MACHANGU (MB)
KUJADILI NI MUHIMU SANA HASA KATIKA CHAGUZI MBALI MBALI
KIONGOZI WANGU
WAPIGA KURA WANGU
MMH NAMSHUKURU MUNGU KWA KILA HATUA
WAPIGA KURA WAKIJADILI
HAPO SASA
MAMA YANGU HAKUWA MBALI NA MIE KWA FURAHA KABISA ALINIUNGA MKONO
ASANTE SANA DADA NA KIONGOZI WANGU PIA KWENYE CHAMA DUME
WATU TULICHEZA IYENA IYENA WEWEEEE
MH BETI MACHANGU AKIJADILI JAMBO
KATIBU WANGU WA UWT DA YUSTA
MIE NA DADA YUSTER
KIONGOZI WANGU KATIKA POZI.
No comments:
Post a Comment