UEFA YAITAKA FIFA KUHAIRISHA UCHAGUZI WA VIONGOZI.
 Baada ya jana kushuhudia baadhi ya maofisa wa FIFA wakitiwa nguvuni kwa 
kile kinachodaia kujihusisha na rushwa katika michuano ya kombe la 
dunia,Shrikisho la soka Barani Ulaya UEFA limeitaka FIFA kuhairisha 
uchaguzi wa Shirikisho hilo kwa siku ya kesho kutokana na kashfa 
iliyotokea hapo jana.
Baada ya jana kushuhudia baadhi ya maofisa wa FIFA wakitiwa nguvuni kwa 
kile kinachodaia kujihusisha na rushwa katika michuano ya kombe la 
dunia,Shrikisho la soka Barani Ulaya UEFA limeitaka FIFA kuhairisha 
uchaguzi wa Shirikisho hilo kwa siku ya kesho kutokana na kashfa 
iliyotokea hapo jana. 
 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment