Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, March 23, 2012

MIRIAM ODEMBA: NYOTA YA TANZANIA ISIYOZIMA KAMWE


mrembo wa kitanzania Miriam odemba akifanya vitu vyake.

so cute and talented


kipaji toka kwa Mungu



Thursday, March 22, 2012

HII NDIO NYUMBA MPYA YA SPIKA WA BUNGE,IMEGHARIMU TAKRIBANI Tsh 1.5 BILLION


Hatimaye Spika wa Bunge la Tanzania pale Dodoma atakuwa na makazi rasmi baada ya ujenzi wa nyumba ya Spika kukamilika na makabidhiano kufanyika. Nyumba hiyo ambayo ipo maeneo ya Uzunguni nje kidogo ya Dodoma mjini imegharimu takribani Tshs 1.5 Billion na imejengwa na kampuni ya Pacha Building Construction Company. Hii inakuwa nyumba ya kwanza rasmi ya Spika kwani hapo awali hapakuwahi kuwa na nyumba rasmi ya Spika.
Photo via John Bukuku: Habari kwa hisani ya Jeff Msangi.

Tuesday, March 20, 2012

SOKO LA HISA LA LEO KIBIASHARA ZAIDI


Soko la hisa la Dar es Salaam hapo jana lilifanya mauzo ya jumla ya shilingi milioni 65.23 kutoka katika hisa  79,644 .

Kaunta ya NMB ilikuwa na hisa 9,500 zilizouzwa kila moja kwa shilingi  850 .

Kaunta ya  SIMBA ilikuwa na hisa  200 zilizouzwa kilammoja kwa shilingi
2,380.

Kaunta ya  SWISSPORT ilikuw ana hisa  400 zilizouzwa kila mmoja kwa shilingi
1,000.

Kaunta ya twiga TWIGA ilikuwa na hisa 99 zilizouzwa kila mmoja kwa shilingi  2,200 .


Kaunta ya TBL ilikuwa na hisa  19,425 zilizouzwa kila mmoja kwa shilingi  2,600 .

Wakati kaunta ya  CRDB ikiwa na hisa  50,020 Zilizouzwa kila mmoja kwa shilingi 150 .

Hivyo ndivyo ilivyo kuwa katika soko la hisa hii leo hapa jijini Dar es saalam.

My Lunch @ 2day with Jackie and Dataz

I had a nice lunch with my Best friend today @ Dragon Chinese restaurant
Thank you to my friends love you so much




so happy being with you today nilikumiss sana maandazi wangu Lv you


Moi kwenye chakula hapana chezea mm kabisa uuh


 Jackie akimwaga sera huku twala

Jackie anapenda sana hiki chakula NUDOS mmh chinise foos so Delicious .

Monday, March 19, 2012

HUYU NDIO MTANZANIA ALIETANGAZA KUJIONDOA FREEMASONS!

Japokua anadai alikua mwanachama wa FREEMASONS, Samwel alikua anajihusisha na biashara ya dawa za kulevya pia na amekiri kufanya biashara hiyo na baadhi ya viongozi wakubwa wa dini wa Tanzania na hata kukaa nao meza moja, hiyo alama kwenye sikio lake la kulia anasema waliwekewa kwa makusudi ili iwe rahisi kutambulika popote atakapotokea, yani ukimuona tu unajua huyu anauza hizo dawa za kulevya.
Hii ndio anasema ni alama kubwa aliyopigwa katika mgu wake wa kushoto kumtambulisha kwamba ni mwanachama wa FREEMASON, ni alama kama muhuri, iliyoambatana na KIAPO ambapo popote atakapokwenda atatambulika, amesema kwa sasa ndio inamsumbua sana kwa sababu chuma kilichotumika kumuwekea kimevunja mfupa, na hii aliifanya huko Afrika Kusini.
Samwel amesema alikimbia na kujiondoa kwenye dini hiyo inayodaiwa kuwa ya kishetani baada ya kutoka gerezani huko Afrika kusini, walikua wanatumwa kwenda kuua wat kwenye ajali na sehemu nyingine, walipewa irizi maalum ambapo baada ya kuona hayawezi hayo maisha akakimbia lakini mpaka sasa hivi anakiri kwamba anatafutwa kwa sababu ndio alikua anamalizia hatua ya mwisho kuingia kwenye hatua ya kutajirishwa kwa mali kama inavyotokea kwa waumini wengine, ila akatoroka na baadae ndio akasikia jamaa aliempeleka kwenye hiyo dini nae ameuwawa baada ya kugundulika kwamba alikua anataka kujiondoa.
Samwel anasema amewahi kwenda kwenye kanisa la FREEMASON hapa Dar es salaam Posta mara moja tu na kukutana na watu kadhaa maarufu wabongo ambao jumatatu ya march 19 2012 (kesho) kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM atawaongelea.
Samwel ametoa ushuhuda wake mwingine wa kuwepo kwenye hiyo dini ya kishetani kwenye NJIA PANDA ya CLOUDS FM, stori zaidi inakuja.


PICHA NA HABARI YOOTE KWA HISANI YA MILLARD AYO WA AMPLIFAYA.

Wednesday, March 14, 2012

FOR THE FIRST TIME READING NEWS ON TV SIO KITOTO DAH




JANA MARCH 13 2012 KWA MARA YA KWANZA NILIANZA KUSOMA HABARI KWENYE TV DUH WAS HARD KWAKWELI AND I WAS SO NERVOUS,SHAKING NA HOFU DAH BUT THANKX GOD NIMEFANYA WALAU IPASAVYO MAANA JAMANI SIO KAZI NDOGO USIWAONE WALIOPO CNN, BBC, DW NA KWINGINEKO UKADHANI NI KAZI NDOGO PAMOJA NA KUWA WAZOEFU SEMBUSE MIE NILIE KAA KATIKA MEDIA KWA MIAKA ZAIDI YA 7 PAMOJA NA KUSOMA NEWS RADIO NA KUFANYA VIPINDI KWENYE TV LAKINI LINAPOKUJA SWALA LA USOMAJI HABARI MMH JANA NILIANDIKA HISTORIA HAKUNA CHA UZOEFU KATIKA HII KAZI JAMANI .

THANKX FRIENDS KW ACOMMENT NA USHAURI TUTAZIDI KUSONGA MBELE.
LOVE YOU ALL.

Monday, March 12, 2012

THE 4TH ANNUAL DIDIER DROGBA FOUNDATION BALL.

hongera sana mama Yasmin aka Ma Mundele kwa kazi nzuri za kiburudani ambazo umekuwa ukifanya hakika zina fana sana  mdau wa blog kama kichw acha habari kinavyo jieleza ndivyo ilivyo kuwa huko London Uingereza miongoni mwa waandaaji wa shuhulihiyo iliofana vilivyo ni Mamaaa Yasmin Aka Ma Mundele bibie ambae amekuwa akipambana na kufanya mengi makubwa katika secta ya burudani

kutoka kulia ni Yasmin akiwa na Shost

 Husband duo from mali, Amadou hawa ndio waliokuwa wakitoa burudani kama hufahamu hawa wawili mke na mume wote ni vipofu kabisaaa. lakini kwa kutoa burudani ni kiboko waliipamba vilivyo shuhuli hii ya Didie Drogba........................... upo!

Yasmin katika pozi mwana dada huyu ndie Manager wa Fally kwa Hapa Bongo amekuwa akimleta na ukimuhitaji basi muone
Yasmin na Manu Adebayor

 Mamu ndele Yasmin hapo chacha
 WAKIWASILI ENEO LA TUKIO





Manu Adebayor akinongonezwa jambo na Yasmin
yasmin hapana chezea yeye kwenye MENU
 picha zinajieleza jamani
 shuhuli ilinoga hatari


Drogba akitoa Hotuba
 Didie drogba akionge ajamno

























haya waosha vinywa kazi kwenu maana najua wapo watakao chonga ha ha ha ha mie nimewasilisha.

Friday, March 2, 2012

kazi ni kwako Rafiki nione nikuwezeshe

Siri ya urembo wa ngozi yangu asilia nione kwa sabuni hizi sawa na bureee inbox me nikupe michapo kaka na wewe dada mrembo
Pearl Beautifying Soap is rich in natural pearl essence extract liquid containing 18 kinds of amino acids, more than 30 kinds of trace elements, taurine, vitamins and peptides, available to transfer nutritional materials into human body and eliminate foreign matter.
kwa bei poa sana ni andikie kupitia kessysophia@gmail.com

HIZI NI ZA CHINI YA ZULIA MSINIHUMUMU MIE :LILIAN INTERNENT AHAMIA MASHUJAA MUZICA mmmmmh ! TWANGA PEPETA VIPI JAMANI .


Mnenguaji mahiri na wakutumainiwa naweza sema ndio mnenguaji bora kabisa nchini na katika bendi ya Twanga pepeta maarufu kwa jina la lilian internet ya daiwa kuwa katika habari zilizo chini ya zulia na zilizo fikia meza yangu hivi punde jamani ni kwamba mrembo huyo tayari  ameshahamia mashujaa na atatambulishwa rasmi jumatano ya wiki ijayo katika ukumbi wa nyumbani lounge atasindikizwa na machozi band, pia Aly Akida amesaini mkataba na mashujaa band so watatambulishwa pamoja

NI MIE MSIMULIAJI WENU TU MSINIHUKUMU