NUKUU YA LEO  BY  MUBELWA BANDIO
Niamkapo huwa NAWAZA KWANINI NIMEAMSHWA / NIMEAMKA?
Ni ili nianze mpango mpya ama nimalize wa zamani?
Nikiweza kuipata / kuihisi sababu, naanza kutafakari namna ya kuitumiza.
Maishayo yaongozwe na sababu fulani.........PURPOSE DRIVEN LIFE.
Lakini kwanza, ITAMBUE SABABU HIYO, FAIDA NA UMUHIMU WAKE. 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment