HAYA MPENDWA IJUMAA NJEMA
WAKO MALKIA LA RAINE
African music is on my blood Back to my root Proud to be Africa,be your self #lets talk about African culture,tourism music ,life style, business,technology, money, fashion, Love, Marriage, Health, food, animals,and so on!!!!
Rais Dilma Rousseff ameahidi kuiunganisha nchi
ya Brazil baada ya kushinda kwa kuchaguliwa tena kwa awamu ya pili kwa asilimia 51.6% ya
kura.
Australia
imezuia kwa muda pasi za kusafiria kwa watu wanaotaka kuingia nchini mwao hasa
wale wanaotoka nchi za Afrika Magharibi nchi ambazo zimekumbwa na mlipuko wa ebola.