Na JAMES LYATUU
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki dunia.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhNiZhth37mzg7YlQ35Z8ihDRMcoT_JoVLqBPh862JHTrmtW4zZGaStYYFUu8L1bkirrJ3ClrdV3lAm7k6LrJR1gSMyqBfiBRkpQfRw5U_bImJdc-7wwMOLwe6UFeK3SG9ET9-QkwkbvnSH/s280/ShekheMkuu.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNSuREAam_QFY3sbtgYRszeS21ZUx-CNRYNsb8U99SZWKKHuSimYqZhIiIgBxbF78wZYcz66sWW7tWiiDdPf8fqQMqc2g5g8zdU1vIuvHYk_YoHJyHqEnuXZOq_ICOUsyoJTAYkWnwmmce/s280/Mufti+wa+TANZANIA+awaasa+wananchi+kujiandikisha+katika+daftari+la+kudumu+la+wapiga+kura+-+TBC+March+27+2015.jpg)
Mwili
wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Jeshi Lugalo na unataraji
kusafirishwa kesho kwenda mkoani Shinyanga kwaajili ya maziko.
Father
Kidevu Blog inaungana na waislamu wote nchini katika maombolezo na
inawapa pole Familia yake, ndugu jamaa na marafiki na wailsamu wote
ndani na nje ya Tanzania.
No comments:
Post a Comment