Naitwa
Sophia Kessy wa Clouds TV nimetafakari kwa kina, nimejitathimini, hivyo
basi Jumatatu wiki ijayo kuanzia saa moja na nusu mpaka saa Mbili
kamili usiku nitakuwepo kwenye Clouds TV Habari, nikitangaza nia
Watangaza Nia wa Clouds Habari usikose kuwatazama jumatatu ijayo ndani
ya @cloudstv kuanzia saa moja na nusu usiku mpaka saa mbili kamili
usiku.
No comments:
Post a Comment