Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tuesday, April 30, 2013

ALEIN MPELA BADO ANATIKISA ANGA LA MUZIKI AOMBA SUPORT ZAIDI YA MASHABIKI.


Mwanamuziki Mpela Alain na timu yake hivi karibuni walipiga kambi kuanzia  29 March mpaka 2 April 2013 katika jombo la   Kananga ambapo waliweza kufanya show tatu matata sana .
mgongwe huyo Alain Mpela Afande muimbaji wa zamani mmoja wa wanahisa wa kundi la muziki la  Wenge BCBG ambae kwa sasa pia ni kiongozi wa bendi ya orchestra "Generation A" ameendelea kufanya vizuri huku akiwaomba washabiki wake kuendelea kumpa moyo ili aweze kurejesha taswira yake na kuendelea kufanya vizuri katika taaluma yake.





unaweza ukakumbuka kuwa wakati Alein alipoondoka wenge BCBG , Alain Mpela pamoja na kaka yake Bouro Mpela waliweza kutikisa sana .


American Music Group Salt-N-Pepa Arrive Lagos for the “Divas Rock Concert”

By Onos O
Salt-N-Pepa
Almost all American superstars are making sure that Nigeria is a country that they visit, for whatever reason. Recently, Maxwell, George Benson, Kim Kardashian, Rick Ross and New Edition, just to name a few in recent times, have been there.  And now, legendary American Hip-Hop group, Salt-N-Pepaare one of them.
After much anticipation, the Hip-Hop divas, Cheryl James and Sandy Denton (“Salt” and “Pepa” respectively) who are headlining the “Divas Rock Concert” arrived Lagos at Muritala Mohammed Airport yesterday evening, April 28, 2013.
The “Divas Rock Concert” is scheduled for May 1, 2013 at 10 Degrees Event Centre, Oregun, Ikeja, Lagos. Other artists billed to take the stage with the  first ever female rap crew are Sasha P, Weird MC, Eva andMs. Jaie.
Check out some photos from their arrival.
SALT-N-PEPA ARRIVAL 3SALT-N-PEPA ARRIVAL 6SALT-N-PEPA ARRIVAL 2SALT-N-PEPA ARRIVAL 4
Photo Credit: Juyin Odeleye | Songkick

souce african Hit.

NAOMBA RADHI KWA WADAU WANGU KWA KUWA KIMYA KWA MUDA




NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWAOMBA RADHI WADAU WANGU WA BLOG HII KWA KUSHIDWA KUWAPA BURUDANI KWA KIPINDI KIREFU KUTOKANA NA KUWA BUSSY NA MITIHASA  PAMOJA NA MASOMO KWA UJUMLA  ILA NAPENDA KUWAMBIA SASA , KU WAHABARISHA JAPO BADO MASOMO YANANIBANA SANA NA KAZI WALAU NAAHIDI  KWA WIKI NITAKUWA NA POST HABARI 3 AU MBILI NA HILI NI OMBI AMBALO NIMELIPOKEA KUTOKA KWA WADAU WA MUZIKI WAKITAKA NISIWASAHAU JAPO KWA SASA HAWAIPATI BAMBATAA  BASI WALAU NIWE NAWADONDOSHEA NINI KIMEJIRI KATIKA ULIMWENGU WA MUZIKI HAPA AFRIKA.
ASANTE KWA KUCHUKUA WASAA WAKO KUSOMA NA KUNIELEWA UENDELEE KUWA PAMOJA.

Wednesday, March 6, 2013

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, ambaye pia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absolom Kibanda avamiwa na kujeruhiwa vibaya.

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, ambaye pia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absolom Kibanda, akionekana jinsi alivyojeruhiwa. 
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimjulia hali Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, ambaye pia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absolom Kibanda, aliyelazwa katika Wodi ya Moi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baada ya kujeruhiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati akiingia nyumbani kwake maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. 
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, ambaye pia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absolom Kibanda, aliyelazwa katika Wodi ya Moi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baada ya kujeruhiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati akiingia nyumbani kwake maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari tanzania (MOAT) ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPP Ltd, Regnard Mengi.Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais akamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimjulia hali
 
 
PICHA NA HABARI KWA HISANI  YA KING KIFF BLOG.

Thursday, February 28, 2013

‘MAPACHA WATATU’ KUZINDUA ALBAM YARABI NAFSI

Waimbaji wa bendi ya Mapacha wa tatu Khalidi Chokolaa (kushoto) na Jose Mara wakiwa wameshika CD ya albam yao mpya  jijini Dar es salaam jana 27/2/2013 watakayoizindua March 2 / 2013 katika ukumbi wa bussines park.

 

Msanii wa bendi ya mapacha watatu Catherine Fidelic ' Cindy' akiimba mbele ya wana habari


Mmoja wa wanamuziki wa kundi la mapacha watatu Kambi Seif akiimba moja ya wimbo wa bendi hiyo.

Picha kwa hisani ya michuzi .

TUZINDUE NA MAPACHA JAMANI WATOTO WA NYUMBANI NYUMBANI NI NYUMBANI

HII SI YA KUKOSA WAJAMENI

Monday, February 25, 2013

MENO 18 YA TEMBO YAKAMATWA MOROGORO

Vipande 18 vya meno ya tembo vyenye thamani ya shilingi milioni ishirini na tisa laki saba sabini na sita elfu  vimekamatwa kwa ushirikiano wa jeshi la polisi mkoani Morogoro na hifadhi ya Udzungwa baada ya kupata taarifa kutoka kwa raia mwema huku wahusika waliokuwa wakisafirisha nyara hizo kutelekeza gari vilivyokuwamo vipande hivyo
            (picha kutoka maktaba)
Akizungumza na Clouds Fm kamanda wa jeshi la polisi mkoani Morogoro Faustine Shilogile amesema kuwa tukio hilo lilitokea  februari 23 mwaka huu majira ya saa saaa 11:00 jioni katika eneo la  la Mto Mwaya Mang’ula wilayani Kilombero ambapo askari polisi walipata taarifa ya kuwepo gari lenye namba T 557 AYR aina ya Toyota mark II yenye rangi ya kijivu ikiwa na watu wawili ndani iliposimamishwa watu hao walishuka kwenye gari na kukimbilia porini huku wakilitelekeza  gari hilo ambalo ndani yalikuwamo meno hayo.



Naye mhifadhi mkuu wa hifadhi ya Udzungwa Vitalis Uruka amesema kuwa vipande hivyo vya meno ya tembo vinadaiwa kupatikana maeneo ya Ifakara au Mahenge na  ni tukio la muda mrefu na kwamba wwatatumia gari hilo lililotelekezwa na watu hao kuwapata wahusika

PICHA ZA MSIBA WA GOLDIE, MUME WAKE NA WENGINE WALIOHUDHURIA.

.
Andrew Harvey mume wa Goldie.
.
Dada wa Goldie akiwa na marafiki
.
.
Wa pili kutoka kushoto ni mtangazaji wa Channel O Denrele Edun ambae alikua rafiki mkubwa wa Goldie na ndioGoldie alifia mikononi mwake akiwa amembeba, huu msiba ulihudhuriwa na watu wachache walioalikwa tu huko Ikoyi Lagos Nigeria.
.
.
.
.
.
.
.
Mwimbaji Tiwa Savage na mchumba wake.
.
Gazeti la Daily Post liliripoti leo asubuhi kwamba msanii Goldie ambae aliiwakilisha Nigeria kwenye jumba la Big Brother 2012 anazikwa leo, baada ya muda kupita ndio nimezipata hizi picha za msiba wa Goldie ambae alifariki siku ya Valentine feb 14 2013.
Imeripotiwa kwamba manenoya mwisho ya Goldie yalikua ni kumuomba baba yake amuombee apone maumivu makali ya kichwa aliyokua nayo ambapo Daily Post wameripoti tena kwamba staa huyo alifariki akiwa njiani kupelekwa hospitali, foleni ya magari siku hiyo ya wapendanao ilichangia kuchelewa kufika hospitali.
Chanzo mojawapo cha kifo chake ni shinikizo la damu na maradhi ya moyo.

HABARI HII KWA HISANI YA MILARD AYO BLOG.

Wednesday, February 20, 2013

IDHAA YA KISWAHILI YA DW YATIMIZA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA KWAKE.


Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle leo inaadhimisha miaka 50 tangu ilipoanzishwa na kuanza kurusha matangazo yake  tarehe 1 Februari 1963 na kusikika katika maeneo ya Afrika Mashariki na Kati.


 (Nikiwa pamoja na Adrea Schmidt ambae ni mkuu wa idhaa ya kiswahili wa Radio (DW) Deutshche Welle mara baada ya mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo 20/2/2013 katika ukumbi wa umoja house hapa jijini Dar es saalam. )

Deutsche Welle inaadhimisha miaka 50 ya idhaa yake ya Kiswahili
chini ya maudhui ya “Maarifa na Mwamko“ katika hafla maalumu itakayofanyika jijini Dar es Salaam.
Kwa nusu karne, Deutsche Welle (DW) imekuwa ikitangaza taarifa na habari
za uhakika kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wasikilizaji kwenye maeneo ya
Mashariki mwa Afrika na eneo la Maziwa Makuu.

Tarehe 22 Februari, saa 9.oo mchana katika jengo la Makumbusho ya Taifa, DW itasherehekea
maadhimisho haya kwa hafla maalumu jijini Dar es Salaam, Tanzania, ikiwaleta
pamoja wachambuzi wanaoheshimika katika mjadala wenye maudhui ya
“ Maarifa na Mwamko kupitia Vyombo vya Habari“.




Hotuba maalumu zitatolewa kwa lugha ya Kiingereza na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Klaus-Peter Brandes, na mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya DW, Andrea Schmidt.

“Idadi kubwa ya wasikilizaji wanaoishi hapa Tanzania, kwa hivyo lilikuwa chaguo la uhakika kwa ajili ya sherehe zetu,“ alisema Andrea
Schmidt. “Kwa miaka 50 iliyopita, DW imejitolea katika utoaji wa habari
zenye uwiano na taarifa za uhakika, ikiwapa watu wa Afrika ya Mashariki
habari na uchambuzi wa kina juu ya masuala yenye uzito mkubwa.“

Uchambuzi utafanywa na jopo la majadiliano lililotayarishwa kwa msaada
wa Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) ofisi ya Dar es Salaam na
utafanywa kwa lugha ya Kiswahili. Mohammed Khelef wa DW ataongoza
majadiliano hayo akiwa na wataalamu wa vyombo vya habari wanaoheshimika
nchini Tanzania, akiwemo Assah Andrew Mwambene (Mkurugenzi

waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali tulijumuika nao pamoja  
 nikifuatilia kwa umakini kabisa mkutano huo







Tuesday, February 19, 2013

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WANACHAMA WA SIMIYU COMMUNITY BANK LEO IKULU‏


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na ujumbe wa Benki ya Jamii ya Simiyu (Simiyu Community Bank) uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam, kumwelezea mipango ya kufungua benki hiyo itayoshirikisha jamii katika mkoa huo mpya na ya jirani katika azma ya kumkomboa mjasiriamali na mkulima
mdogo.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na  na ujumbe wa Benki ya Jamii ya Simiyu (Simiyu Community Bank) uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana  na wajumbe wa Benki ya Jamii ya Simiyu (Simiyu Community Bank) uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam

KANISA LA CHOMWA MOTO VIZIWANI ZANZIBAR

 
SIKU TATU TU ZIMEPITA BAADA YA PADRE KUUWAWA -'KANISA JINGINE LA POOL OF SILOAM LACHOMWA MOTO VISIWANI ZANZIBAR' ( TUNAELEKEA WAPI? AMANI IPO WAPI? WATU WANAOGOPA HATA KUSALI MAKANISANI SIKU HIZI UNAPOTOKA HUNA UHAKIKA WA KURUDI NYUMBANI UKIWA SALAMA EEH MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE WAJA WAKO.)

Monday, February 18, 2013

SAFARI YA KISIWANI MBUDYA ILIVYOKUWA

SORRY FRIENDS I HAVE BEEN SO BUSY WITH STUDIES AND WORK NDIO MAANA NACHELEWA KUWEKA PICHA ZA MATUKIO KISIWANI MBUDYA PLZ NAOMBA MNIVUMILIE WHEN I GET TIME SOON WILL PUT MORE PICS NA HABARI ZAIDI LOVE YOU ALL ENJOY.


 taratibu tukaanza kusogea
 dogo langu merry kessy na yeye alijumuika na ma single girls kuenjoy kisiwani mbudya
 hapa tukielekea kufuata boti kubwa inayoonekana pichani chini


 baba jonii hakukosekana Adam Mchomvu na yeye yumo
 misosi pia ilikuwepo
 aah mie nikapozi kupata upepo
 kimodo nae muoga ndani ya life jacket

 waliobaki wali lala kisiwani humo 
 raha jipe mwenyewe ukisubiri kupewa utazeeka bila kuzipata

 sitii neno hapo kilaji

 kisiwa cha ukweli
 mtu na dada yake




PICHA ZAIDI NIKIPATA TU TIME NITAZIWEKA THANKX