Suzan Harvey aka Goldie akiwa na Prezoo
Ni taarifa ambayo kila aliekua karibu na Goldie kwenye page zake za facebook na twitter inakua ngumu kuamini, taarifa rasmi zimeripoti kwamba Goldie ambae ni mwakilishi wa Nigeria kwenye BBA 2012 AMEFARIKI muda mfupi tu baada ya kuwasili Lagos Nigeria akitokea Marekani ambapo bado chanzo cha kifo chake hakijajulikana.
Mmoja wa wasaidizi wake amethibitisha kifo cha Goldie kupitia page ya twitter ya Goldi kwa kusema ni kweli msanii huyo amefariki dunia usiku wa february 14 2013 muda mfupi tu baada ya kuwasili Lagos Nigeria.
Taarifa nyingine nilizozipata kutoka kwa mtu wake wa karibu wanaeshirikiana kimuziki zimeeleza kwamba mpenzi wake Goldie ambae ni Msanii wa Kenya CMB Prezzo ametua Nigeria usiku huu muda mfupi uliopita kwa ajili ya kuendeleza mipango aliyokua nayo na Goldie ikiwemo kutengeneza show ya TV.
Prezzo alitakiwa kushiriki katika TV show ambayo yeye na Goldie wangekua moja ya wahusika wakuu ambapo mpango ulikua baada ya mwezi mmoja Goldie na Prezzo wangekuja Tanzania, Uganda na Kenya kwa ajili ya kujitangaza na kuipromote single mpya ya Goldie ya ‘Skibobo’ aliyofanya na Ay
HABARI ZAIDI TOKA NIGER
Popular Nigerian music artiste and former Big Brother Africa housemate, Susan Oluwabimpe Harvey (aka Goldie) is dead.
Kennis Music have confirmed the death. They released a statement via her Facebook and Twitter page.
Ellam A. Abass, Artiste and Repertoire Manager at Kennis Music, also confirmed that the artiste was indeed, dead.
According to sources, she passed away Thursday evening (yesterday) at the age of 29.
She died in Denrele Edun’s arms at Reddington Hospital in Victoria Island.
It is said that the cause of death is pulmonary embolism, (it is blockage in one or more arteries in your lungs and it is caused by blood
clots that travel to your lungs from another part of your body — most commonly your legs), but that is yet to be confirmed.
The singer just came back from the United States yesterday where she attended the 2013 Grammy awards.
Goldie was born Susan Oluwabimpe Harvey on October 23, 1983.
She was a pop artiste signed to Kennis Music. She started her career in London, with a pop rock group.
May her soul rest in peace!
HABARI ZAIDI TOKA NIGER
Popular Nigerian music artiste and former Big Brother Africa housemate, Susan Oluwabimpe Harvey (aka Goldie) is dead.
Kennis Music have confirmed the death. They released a statement via her Facebook and Twitter page.
Ellam A. Abass, Artiste and Repertoire Manager at Kennis Music, also confirmed that the artiste was indeed, dead.
According to sources, she passed away Thursday evening (yesterday) at the age of 29.
She died in Denrele Edun’s arms at Reddington Hospital in Victoria Island.
It is said that the cause of death is pulmonary embolism, (it is blockage in one or more arteries in your lungs and it is caused by blood
clots that travel to your lungs from another part of your body — most commonly your legs), but that is yet to be confirmed.
The singer just came back from the United States yesterday where she attended the 2013 Grammy awards.
Goldie was born Susan Oluwabimpe Harvey on October 23, 1983.
She was a pop artiste signed to Kennis Music. She started her career in London, with a pop rock group.
May her soul rest in peace!
No comments:
Post a Comment