karibu sana marafiki nimeona nibadili mwelikeo wa blog yetu kwasababu najua jamii inayotuzunguka ina mambo megi sana ya kuzungumza badala ya kuonyesha tu picha za matukio ya hapa na pale ngoja niwe na mwelekeo wangu.
sisi wenyewe kwa wenyeje tukajijenga na tukapena upeo au maujuzi ya mambo mbali mbali kama ,Elimu, maisha, vyakula, mapenzi, ndoa , maradhi, afya na mengineo.
basi tafadhali maswahibu hutukuta sote kina dada na kina kaka kina baba na akina mama so huu ni ukurasa wetu kujadili na kuzungumza pamoja.
kuhusu yale mambo yetu ya habari matukio na burudani na mengineyo yake tutayasoma katika website yetu ya www.sophiakessy.com ila kwa haya ya kawada ambayo twatakiwa tujadili basi tuzungumze nayo hapa hapa kwenye blog yako .
niandikie nitachapisha kasha kwa pamoja tutajadili tuma barua pepe yako kupitia
Email: sophia80tz@yahoo.com
karibu sana nawajali na nawapenda mmno nategemea support yenu.
sisi wenyewe kwa wenyeje tukajijenga na tukapena upeo au maujuzi ya mambo mbali mbali kama ,Elimu, maisha, vyakula, mapenzi, ndoa , maradhi, afya na mengineo.
basi tafadhali maswahibu hutukuta sote kina dada na kina kaka kina baba na akina mama so huu ni ukurasa wetu kujadili na kuzungumza pamoja.
kuhusu yale mambo yetu ya habari matukio na burudani na mengineyo yake tutayasoma katika website yetu ya www.sophiakessy.com ila kwa haya ya kawada ambayo twatakiwa tujadili basi tuzungumze nayo hapa hapa kwenye blog yako .
niandikie nitachapisha kasha kwa pamoja tutajadili tuma barua pepe yako kupitia
Email: sophia80tz@yahoo.com
karibu sana nawajali na nawapenda mmno nategemea support yenu.
No comments:
Post a Comment