Hi ndo bongo bwana.watu ni wanafki hata kama anakuchekea,hawapend maendeleo ya mtu,wambea husema kitu hatakama hakushuhudia,tabia za kuwa na wapenzi zaid ya 1,atakusemea vibaya kama anakujua vile,a.k.a kupakazia,ni walevi sana,kujionyesha ili wapate ufahari,walanguzi,wanapenda kuchochea mabo hatakama yataleta madhara,ni watu wasio ridhika,wanataka wakipata 200 wanatumia 180 ili waonekane wanazo,hupenda ufahari huku hayupo leve hizo,a.k .a.kujikweza.nikumbushe na mengine kama nimesahau tupia hapa.
ha ha ha wanaisomaje namba mdogo wangu waambie kwanza watoe na mawigi yao ya kichina na kope zao za kichina kisha washindane na wewe
No comments:
Post a Comment