Uchaguzi waanza Marekani
Wapiga kura nchini Marekani wameanza zoezi la kumchagua rais atakaeiongoza nchi yao kwa miaka minne ijayo. Hadi siku ya mwisho ya kampeni, kura za maoni ziliwaonyesha wagombea wawili wa wadhifa huo, Rais Barack Obama na mpinzani wake wa chama cha Republican Mitt Romney wakiwa nguvu sawa, ingawa Obama anaonekana kuongoza kwa kiwango kidogo.
Akitoa rai ya mwisho kwa wapiga kura, Mitt Romney alisema mlango uko wazi kwa ushindi.
Rais Obama alitoa rai sawa na hiyo kwa wanaomuunga mkono jimboni Ohio. Kwa upande mwengine Warepublican wamelalmika juu ya kimbunga kilichoikumba Marekani wiki iliyompita kwamba kumepunguza kasi ya mgombea wao.
Akitoa rai ya mwisho kwa wapiga kura, Mitt Romney alisema mlango uko wazi kwa ushindi.
Rais Obama alitoa rai sawa na hiyo kwa wanaomuunga mkono jimboni Ohio. Kwa upande mwengine Warepublican wamelalmika juu ya kimbunga kilichoikumba Marekani wiki iliyompita kwamba kumepunguza kasi ya mgombea wao.
No comments:
Post a Comment