marufuku ya mechi tatu.Mchezaji wa timu ya wanawake ya Nigeria Ugo Njoku amepigwa
Kamati ya nidhamu ya FIFA ilifanya kikao chake nchini Canada na kufikia uamuzi huo baada ya kutizama video inayomuonesha Njoku akimpiga kumbo mchezaji wa Australia Sam Kerr katika mechi ya makundi ya kombe la dunia la wanawake .![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitPPyYw0lzNaYj-oCx83YOFtMQIqX-bK1Fwaga0x0rQt8X1Xe9Vvt3RGu0YJg1e7KrjMBGow4EC5q3e6TsOrDGt8VHU1PqUoYDNXwsGo7PbQZzjzJBGNezlOdrj77TWWKfltU25sV-O2R-/s400/151494666.jpg)
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 alikuwa mchezaji wa akiba na aliingia uwanjani katika dakika ya 52 ya mechi hiyo ya kombe la dunia.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYVTrNby6Sg0gZteOkQAYgLWCEtbimyNukFMgMm5rzMtgPYNAJ3xSFvo2UZOOEICWPdAADF38mUPvUSNtUR2UXO0QREVQRNFGOkm2mM2XmHVPAj4oR-IpNOBvgOAP7U9Q6Qgyfoj-ebW_L/s400/_83629896_455057602.jpg)
Mchezaji huyo amepigwa faini ya dola elfu tatu na mia mbili $3,200.
No comments:
Post a Comment