
 Sherehe ya kula nyama ya mbwa kusini magharibi mwa China imeanza huku 
kukiwa na pingamizi miongoni mwa wanaharakati wa haki za wanyama. 
Takriban mbwa 10,000 watachinjwa na nyama yao kuliwa katika sherehe hizo
 zitakazofanyika katika eneo la Yulin mkoa wa Guangxi siku ya jumapili 
na jumatatu ili kuadhimisha kuanza kwa msimu wa joto kulingana na vyombo
 vya habari vya kitaifa.
Sherehe ya kula nyama ya mbwa kusini magharibi mwa China imeanza huku 
kukiwa na pingamizi miongoni mwa wanaharakati wa haki za wanyama. 
Takriban mbwa 10,000 watachinjwa na nyama yao kuliwa katika sherehe hizo
 zitakazofanyika katika eneo la Yulin mkoa wa Guangxi siku ya jumapili 
na jumatatu ili kuadhimisha kuanza kwa msimu wa joto kulingana na vyombo
 vya habari vya kitaifa. 


No comments:
Post a Comment