Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, November 9, 2015

RAIS DKT JOHN MAGUFILI AKIZUNGUMZA LEO WAKATI WA ZIARA YA GHAFLA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANI DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMEFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA MUHIMBILI .

KATIBU MKUU KIONGOZI OMBENI SEFUE AZUNGUMZIA ZIARA YA RAIS DKT JOHN MAGUFULI MUHIMBILI

BAADA YA KUFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA MUHIMBILI LEO,RAIS DKT MAGUFULI AMEVUNJA BODI YA UONGOZI WA HOSPITALI HIYO NA KUTEUA UONGOZI MPYA HABARI ZAIDI ZITAKUFIKIA.

Papaa WEMBA afanya Maajabu " KARIBU MUSIC FESTIVAL"


DSC_1032DSC_1032

Mwanamuziki nguli wa dansi kutoka DRC Congo, Papaa Wemba kushoto akiimba na kucheza sambamba na madansa wake jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la muzuki la Karibu Music Festival msimu wa pili linaloendelea katika viwanja vya Mwanakalenge,mjini Bagamoyo. 

Na Andrew Chale

 Mwanamuziki kutoka Congo mwenye makazi yake nchini Ufaransa, Papaa Wemba, ameweza kuonyesha ukomavu wake kwenye muziki wa dansi licha ya kuwa na uri wa miaka 66, kwa kupiga shoo ya aina yake usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la Karibu Music Festival 2015 linaloendelea ndani ya viwanja vya Mwanakalenge, Bagamoyo-Tanzania.

Katika shoo hiyo, Papaa Wemba aliweza kupanda jukwaani akiwa na bendi yake na kupiga nyimbo zaidi ya tano zilizokonga nyoyo mashabiki lukuki waliofurika ndani ya viwanja hivyo vya Mwanakalenge mjini hapa.

Papaa Wemba ambaye anatamba kwa muda mrefu na wimbo wa “Show Me The Way” ameweza kuwa miongoni mwa wasanii wa muziki wa dansi kutoka DRC Congo kufika Tanzania kwa mara ya pili sasa kwa vipindi tofauti huku watanzania wengi wakionyesha kumkubali na kufuatilia muziki wake mara kwa mara.

Baada ya shoo hiyo Papaa Wemba aliwashukuru Watanzania kwa kujitokeza kwa wingi na kumuunga mkono katika muziki wake ambapo alieleza kuwa tamasha hilo la Karibu Music Festival licha ya kuwa change kwa kufanyika mwaka wa pili, huko linakoelekea litakuwa kubwa zaidi na kuwa maarufu.

Katika shoo hiyo, Papaa Wemba aliimba nyimbo zaidi ya nne huku akiimba pia vibao kadhaa vilivyowahi kutamba miaka ya nyuma pamoja na nyimbo mbalimbali zikiwemo mpya.

Tamasha hilo ambalo leo Novemba 8.2015, linatarajiwa kufikia tamati, linaratibiwa na Karibu Cultural Promotions Organization (KCPO) na Legendary Music Entertainment and Promotions Co. Ltd, T kwa kushirikiana na kampuni ya kinywaji cha Jebel Coconut. Wadhaminiwa wengine ni pamoja na Swiss Embassy, Precision Air, Coca Cola, Mwananchi Communication, Kaya fm, Magic fm, Focus Outdoor, Jovago, Kaymu na Time tickets.

DSC_1025
Papaa Wemba akiimba jukwaani kwenye tamasha la Karibu Music Festival 2015, usiku wa kuamkia leo kwenye viwanja vya Mwanakalenge, mjini Bagamoyo.

DSC_1083DSC_1099DSC_1030
Dansa akifanya yake jukwaani..

DSC_1063DSC_1080DSC_1090
Mwenyekiti wa tamasha la Karibu Music Festival, Amarido Charles (kushoto) akiwa pamoja na mwanamuziki kutoka Afrika Kusini, Bodenim 'Bo' katika viunga vya tamasha hilo viwanja vya Mwanakalenge..

Wednesday, October 21, 2015

HEARTWARMING PREGNANCY ANNOUNCEMENT SHOCKS HUSBAND AFTER COUPLE'S REPRODUCTIVE STRUGGLES

 - A video posted online of a Virginia woman surprising her husband with news of their pregnancy is warming hearts and calling for the tissues across the Internet.
Dana Griffin-Graves and her husband Arkell Graves said that they'd not been able to have a family after they were married 17 years ago. In her posting of the video to Youtube, Griffin-Graves said that the couple suffered 4 miscarriages and 1 stillborn birth, but they'd never given up on God.
Griffin-Graves posted the heartwarming video as she surprised her husband with actual buns in the oven as the two appeared to be settling in for a romantic dinner.
Graves' reaction is priceless.
"You're pregnant?...You're pregnant?" a shocked Graves repeatedly asks his wife.
Griffin-Graves said she found out that her pregnancy was the reason behind her not being able to lose weight. The biggest surprise of all, she's 5 months along!
In an interview with Buzzfeed News, Griffin-Graves said she has been shocked by the reaction to the video, especially since she only sent the YouTube link to eight people.
“I thought that this was going to be for family only,” she said.
Congratulations to the family!
source by FOX 26.

TANZANIAN SUPERMODEL FIGHTS ENDOMETRIOSIS

When Millen Magese won the Miss Tanzania competition in 2001 and became an

international fashion model, she became an idol to many African women.
Rich and famous, she has lived a glamorous life travelling the world, modelling clothes for top designers.
But off the catwalk, she has also become a heroine to many women for speaking up about a debilitating gynaecological condition, endometriosis, which can cause severe pain and infertility.
To get the message across, she established a foundation and begun an awareness campaign via social media.

CITIZEN TV’S JANET MBUGUA PRANKS CO-HOST HUSSEIN MOHAMMED # BEST PRANK EVER..LOL

Janet Mbugua had the studio in fits of laughter after she pranked Hussein Mohamed by pretending to be in labour during the Monday Special show on Citizen TV.
Janet, who has acted in previous screenplays, pulled off the ruse so well that she sent her co-host into distress.
Janet will be leaving the show, which airs on Monday 9:00pm,  as she goes on maternity leave and Jacque Maribe will take her place.
Janet and her husband, Eddie Ndichu, have discussed their pregnancy openly on Janet’s blog and in the September edition of East Africa’s True Love Magazine.
Despite the stigma surrounding pregnancies on TV, Janet did not scare away from her job on the screen.
However, many criticized the anchor on showing off her baby bump.
“News anchor Janet Mbugua should now go out of our TV screen. She shouldn’t assume that we are enjoying her new shape,” read the tweet
Janet responded, “People like you are a shame to society. I’m proud of my pregnancy, as are many other women. Your ignorance is wanting.”
Her fans, however, continued to compliment her saying that it was natural and no one should “hate on her”.
One follower on Instagram was also not shy to mention that her baby bump display was too much.
The follower commented on one of her posts saying that she was emulating the Kardashians and that her pregnancy was not for the whole world to see but only for her husband.
“Tell your sponsors to take a break and leave that belly for Ndichu not the whole world.” She said.
This did not augur well with Janet and she responded, shaming the Internet trolls. “I don’t care for your opinion, you don’t have to follow me”, Janet wrote, “This is for men and women who celebrate transitions,” she added.
On her blog, she wrote a lengthy post on her pregnancy journey.
She shared about her first days being pregnant and the difficulties she endured, saying she was “encouraged by other mothers out there”.
“About my first trimester, everyone would tell me the same thing; it’s the first trimester that’s usually the hardest, it gets better over time. They were right! Although every pregnancy is different, most women fall ill during the first trimester, because of all the changes going on in their bodies,” she wrote.
The iron lady, however, left the show saying that she was excited to begin the next chapter in her li

Tuesday, October 20, 2015

BLOGGA WA NIGERIA NA JUMBA LA KIFAHARI ANUNUA N600 MILION NAIRA AWAPA UJUMBE MABINTI KUJIWEKEA MALENGO



Mapema ijumaa ya wiki iliopita blogga mwana dada kutoka nigeria  LINDA IKEJI's aliweza kuwathibitishia ma blogger wengine na wanawake wote kwa ujumla kuwa inawezekana ukiamua na ndo ndoto hutimia pale alipo timiza ndoto yake ya kununua jumba kubwa la kifahari .



Mwana dada huyo ametumia blog yake hiyo ku share picha kadaa za jumba lake la kifahari na kuandika ujumbe maridhawa kwa akina dada wote kuacha tabia za kutegemea kupewa fedha na wanaume kila wakati badala yake wajitume wenewe kwa kuweka malengo yatafanikiwa.!

ufuatao ni ujumbe linda alioandika kwa mabinti wengine kazi kwako
Mwana dada huyo ametumia blog yake hiyo ku share picha kadaa za jumba lake la kifahari na kuandika ujumbe maridhawa kwa akina dada wote kuacha tabia za kutegemea kupewa fedha na wanaume kila wakati badala yake wajitume wenewe kwa kuweka malengo yatafanikiwa.!


ufuatao ni ujumbe linda alioandika kwa mabinti wengine kazi kwako


UFUATAO NI UJUMBE ALIOTOA MWANA DADA HUYO BLOGGER KWA MA BINTI WATAFTAJI.

 Now to all the young girls looking at these photos, please read below..

My name is Linda Ikeji. I'm a blogger. I'm 35 years old and I have never...never ever in my life slept with a man for money. Not only have I never done it, I have never even considered it...and here I am with a house that cost me over half a billion naira.

Listen, you are beautiful and you are stronger than you know. There's absolutely nothing you can't achieve if you set your mind to it, put your heart and soul into it.
Up until five years ago, I was a struggling entrepreneur. I can't tell you how many offices in this Lagos I sat in for hours waiting to see people who could support my business...but most times, I never passed the reception area. But I never gave up and I never stopped believing and here I am today.

You too can be this..you can be better than this. No dream is too big, no dream is too small, no mountain is too high...it's all in your mind. It's all up to you. If you believe in you, in your God who is guiding you, then the sky is your starting point.

Please stop waiting around for a man to give to you...to put food on your table and put clothes on your back. I promise you, you can do it for yourself. Start thinking big, believe in yourself, be creative and start working. Realize that your dreams are valid...and nobody will make your dreams come true except you. Find what you are good at. Find something that you are passionate about. Work hard at it. Be consistent. Be patient. Start young. Even if you're not young, it's never too late!

I have been hustling since I left secondary school..started modeling before I entered university in 1998. Was running a modeling agency even while I was a student and made it a full time business after I left university. I never doubted that I would succeed one day, because I was determined. And please do not think this happened over night. I've been blogging since 2006...November this year will make it exactly 9 years. God, consistency and hard work brought me here today.

Unfortunately, a lot of our young girls aren't patient and some are lazy, they want it quick and fast but it doesn't work like that. Success takes time - takes hard work - takes passion - takes consistency - but more than anything else, it takes the Grace of God.

I was a 30 year old broke woman and on my birthday, a very sad and depressed me turned to God and begged him. I told Him you promised me, when will You fulfill Your promise? Am I not Your child? Have I not lived according to Your teachings? When will You bless me? Please God help me...and with tears in my eyes, I begged Him. I cried and I begged and I begged and I begged. A few months later my life changed. Never underestimate God's love for you and the power of prayer.

And never stop working. Listen, I make enough money to hire so many people to work on this blog while I go do other things and enjoy myself...but I don't do that. I'm up while some of you are sleeping, and already blogging before some of you wake up. I don't take this for granted. I know to stay on top, I have to constantly work and nobody will be as dedicated as I am because this is not their own thing. It's mine and I have to keep feeding it. So I'm constantly here!

Young ladies, I promise you...you too can do this. You don't need to spread your legs for any bladdy man - because of how much? N200k? That's how much my shoes cost - so why should you give up your body for that? Your sacred body? God's temple? N200k that you can make in a week or even in a day if you pursue your dreams and still have your dignity intact? You think people don't see that you're messing around with all dem old married men and talking about it? Think ladies, think! When next a man propositions you...tell him to get lost, that you will get yours yourself! Abi, aren't you a woman? You know what they say about women? "A woman is like a tea bag, you never know how strong she is until she gets in hot water.". You are so strong, you don't even know!

Also, if you want God to bless you, you have to have a clean heart. All these backbiting, hating on others, trying to bring people down with hateful words/actions etc - God doesn't like ugly. He has over 6 billion people to look after and you think he will pay extra attention to you if your heart is ugly? Wish people well, help people when you can. Be good to others. But more than anything else be good to yourself. Believe in yourself. It's very easy to give in to feelings of self-doubt and back down when things get tough, but you have to know that God will not give you anything you can't handle.

I swear to you, you are underestimating yourself. If you know the power that you have inside. If you know the things that you are capable of. If you know how far you can go...how high you can reach but you are holding yourself back because you're afraid of failing, because you don't think you have it in you. If only you know that you're stronger than you think. You are so powerful, you don't even know it. I'm not more special than you are. I don't have two heads. We serve the same God. Why can't you succeed? Think ladies, think.

Like Barack Obama's sister said, poverty is not an excuse! I used to sell/market beer at Sheraton hotel, Lagos when I was in university for N1,000 a day. I once lived on 'puff puff' and garri for weeks in UNILAG and I was supposedly a top model but nobody knew what I was going through.

Trust me, I knew poverty. Did you know I lived in Idi-oro, Mushin for 15 years? Up until when I was 25? Did you live in Mushin? Eh, so what's your excuse? I can't even say some things here for my family's privacy but here I am today because I never doubted myself and I never allowed all the doubters to distract me. I was focused. I was determined. I worked hard and I knew the God I served won't let me down. The road was long, sometimes very frustrating and painful but look at me now. God did it because he saw that I was willing!
"Because I am a woman, I must make unusual efforts to succeed. If I fail, no one will say, “She doesn’t have what it takes.” They will say, “Women don’t have what it takes.”
Please believe in yourself and watch God use you to set as an example for others.

May all your dreams come true!

Kisses.

Oh by the way (addressing the argument I read online this weekend) I don't do anything else. I blog from 4am till midnight, where do I have time to do anything else? When God wants to bless you, He will bless you...even if you're selling toothpick.

Cheers!












KHLOE PUTS RELATIONSHIP WITH JAMES HARDEN ON HOLD FOLLOWING LAMAR'S CRISIS

According to TMZ, Khloe Kardashian has put her relationship with basketball player boyfriend James Harden on hold following ex Lamar Odom's medical crisis. The reality star, who is said to still have feelings for her estranged husband, has asked James to give her some time as she plans to be by Lamar's side during his rehab, which will take many months. The estranged couple both signed their final divorce paper, but it hasn't been finalized so they are still legally married.

Thursday, October 15, 2015

KOFFI OLOMIDE NA ALBUM YA MITUME 13 ASHIRIKIANA NA FERRE GORA KWA MIAKA MIWILI

Mwanamuziki Koffi Olomide na albam yake aliyoipa jina la mtume wa kumi na tatu .

"Mopao Mokonzi" amesema yuko tayari kuweka kwenye soko " mtume wa kumi na tatu "  hapa nazungumzia album yake , kwenye uzinduzi ambao ulihudhuriwa na mwanamuziki alie wahi pia kufanya kazi katika bendi yake  Ferre Gola, Fabregas, Evoloko na zinazozalishwa na studio ya Kati Koffi.

Takriban  nakala za CD album mpya  55,000 za "Quadra koraman" jana ziliingia kwenye soko ambapo rasmi  Koffi Olomide aliwasilisha aliitambulisha album hiyo  Oktoba 13  kuwa  sauti "13 za Mtume."

Kwenye ya hii ya ishirini, Koffi Olomide amefanya kazi miaka miwili kwa kushirikiana na Ferre Gola na wasanii,  kama Fabregas, Evoloko.

Miongoni mw akazi hizo Zinazozalishwa na studio ya Kati Koffi, album hiyo iliopewa lebo ya  "13 Mtume" nakuingia sokoni imeweka ya nakala elfu 55,000 CD kuuzika kw asiku moja  katika masoko ya Ulaya ya Mashariki, aliwaambia waandishi w ahabari.

Hakuishia hapo bapi pia kofii  alimshukuru Meya wa Brazzaville ambaye alisaidia ili kuhakikisha kuwa tani hizi za CD kufika kwa usalama na ubora  mzuri huko Kinshasa kwa ajili ya kuuza .

Kofii aliulizwa iweje yeye aje na album na kuipa jina la mitume 13 je alikuwa na maana gani  kuipa album hiyo jina hilo?.

Na yeye akajibu wakosoaji wake kwa kusema "Ndiyo, sababu kwamba kumekuwa hakuna Mtume Mweusi. Kulikuwa na Mandela, Martin Lutter King, Bob Marley, Mohamed Ali  hawa wote ni kama mitume ndio maana nimeonelea kuita album mitume kumi na tatu...

Aliongeza kuwa, nayeye ni mmoja wa mitume wa yesu ingawa hakuhesabiwa huenda kwasababu yeye ni mweusi. "Kwa hiyo mimi Mimi ni mmoja wa Mitume wake kwamba tuna labda si kuhesabiwa kwa sababu mimi ni mweusi.

Mimi hivyo ndani  ndani ya nafsi yangu niweze kuwa mmoja wa mitume wake, "anaendelea.

Wednesday, October 14, 2015

KUMBUKUMBU YA KIFO CHA LUAMBO MAKIADI NA KUZINDULIWA KWA MNARA WAKE.

Aliyekuwa mwanamuziki wa rumba, Luambo luanzo Makiadi amejengewa mnara mkubwa mjini Kinshasa ambako waziri mkuu aliuzindua jana usiku wakati wa maadhimisho ya miaka 26 ya kumbukumbu ya kifo chake.


Mnara huo wa picha yake umejengwa kwenye eneo la wasanii, la PLace de la Victoire/Matonge katika mji mkuu wa Congo. 

Luambo ambaye jina lake kamili ni Francois Luambo Luanzo Makiadi, aliyezaliwa mwaka 1938 na kufariki dunia Oktoba 12 mwaka 1989 akiwa na umri wa miaka 51, alikuwa mtunzi, mpigaji gitaa na mwimbaji ambaye kundi lake la OK Jazz ligeuka kuwa bendi maarufu ba




rani Afrika na duniani kote.
 
 Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imeahidi pia kuwajengea minara ya kumbukumbu wanamuziki wengine watatu, Joseph Kabasele," Grand Kalle,Tabu Ley Rochereau na Lutumba Simaro.

Tuesday, October 13, 2015

VIPI UMEBAHATIKA KUIONA VIDEO YA WERRASON WIMBO ” BLOCK CADENAS “? BASI HII HAPA

Mie huwa kuongea sana sipendi  kuongea sana angalia kazi angalia mpangilio wa vyombo na sauti kutoka kwa vijana wenzetu hao

labda hapa bendi zetu zitanyakua mawili matatu enjeo na block cadenas ...

Friday, October 9, 2015

MGOMBEA UBUNGE WA ARUSHA MJINI KWA TIKETI YA ACT-WAZALENDO AFARIKI DUNIA

Mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Estomih Malla amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya KCMC Moshi.

Marehemu Malla alipelekwa KCMC jana mchana kutokea Hospitali ya St. Thomas iliyopo Arusha mjini baada ya kulazwa hapo kwa siku mbili kwa tatizo la shinikizo la juu la damu.

Hali hiyo ilimtokea siku ya tarehe 6/10/2015 mara baada ya kumalizika mkutano wa kampeni uliokuwa unafanyika Ngaramtoni,ambapo alilalamika kusikia kizunguzungu na baadae kukimbizwa hospital ya St Thomas ambapo madaktari wa pale walisema Malla anasumbuliwa na uchovu na hivyo anatakiwa kupumzika kwa muda mrefu.


Afisa Habari wa Chama Cha ACT Wazalendo, Abdallah Khamis, amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kwamba marehemu alifariki usiku wa kuamkia leo Oktoba 9, 2015 majira ya saa Saba.

ACT-Wazalendo kitatoa taarifa zaidi kuhusiana na msiba huo baada ya kufanya mawasiliano na viongozi waandamizi wa mkoa na kitaifa.

Huyo ni mgombea wa tatu kufariki ndani ya siku 30 ambapo Septemba 12 mgombea ubunge wa jimbo la Lushoto kupitia CHADEMA Mohammed Mtoi alifariki dunia kwa ajali ya gari.

Septemba 24, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi), Celina Kombani ambaye pia alikuwa mgombea ubunge jimbo la Ulanga kupitia chama cha Mapinduzi alifariki dunia nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu

Uchaguzi wa ubunge jimbo la Arusha mjini utaahirishwa ili kutoa nafasi kwa chama cha ACT-Wazalendo kuteua mgombea mwingine.

Sunday, October 4, 2015

KARMAPA: ASEMA YEYE NI MWANGALIZI WA JAMII,NA KUZUNGUMZIA WAIMBO WAKE WA 46664.


Mmwanamuziki Karmapa anasemekana kuwa yeye ni  kamamwangalizi wa jamii katika kazi zake, kujadili hali halisi ya maisha, kukemea wakati huo huo  kutoa kasoro ya jamii na kutoa ushauri ili kufanya mabadiliko kwenye jamii yake.

Akizungumza na  Afriqu'Echos MAGAZINE (AEM): kuhusu title ya no 4666 4 ambayo inahusu na kwa namna moja au nyingine na  Nelson Mandela?
Kwa kuangua kicheko mwanamuziki huyo alijibu kwa kujiamini kuwa ndio . 4666 4 ni jina la moja ya nyimbo za albamu yangu; ni wimbo ni wimbo kwa wale waliojitoa sadaka maisha yao kwa wengine nah ii ni kwa wote kama Nelson Mandela, bila shaka, lakini  pia wakina Thomas Sankara, Kwame Nkrumah, Patrick Emery Lumumba, Nasser ... Hivyo ni mashujaa hao, mashahidi wale ambao  waliongoza.

wimbo huo unapatikana katika album ya mwanamuziki huyo alioipa jina la 46664.

JB MPIANA NA ALBAMU YAKE YA "BALLE DE MATCH"


HAYA BASI habari inasema kwamba  JB Mpiana na kundi lake, Wenge BCBG katika harakati za kukamilisha kazi katika albamu yao mpya iliopewa jina la  "Match Point" na waliahidi mashabiki na wapenzi w amuziki kwmaba ingekuwa sokoni mapema mwezi   Mei 2015. Lakini  cha kusanhangaza ni kwamba mpaka kufika mwishoni mw amwezi  Juni na hakukuwa na CD nakala au DVD ya albamu hiyo  katika maduka.



baadhi ya wapenzi wa muziki nao wamekuwa wakihoji je ukowapi umakini wa mwanamuziki mkubwa kama huyo na ahadi zake nyingi?  kuna ambao pia walisikika kusema kuwa wamechoshwa na ahadi hewa za Bin Adam  na kundi lake  nikinukuu mmoja wa mashabiki hao akitumia lugha ya kimombo alisema kuwa  "In any case it is not serious from an artist of his caliber," mwisho wakunukuu..


wengine walijishauri kwa kusema kuwa huenda JB Mpiana anaogopa kuibiwa kwa kazi zake lakini hiyo haimanishi asiachie album bali ajaribu kujitolea.





CELEO SCRAM KAZI KWENU MASHABIKI WA MUZIKI

kazi kwenu marafiki