Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Wednesday, January 28, 2015

WANAFUNZI ZAIDI YA 200 WATUMIA DARASA MOJA WENGINE WASOMA CHINI YA MITI ILIYOKO KARIBU NA SHULE HIYO.



Hali ya Shule ya msingi SAKU iliyoko Manispaa ya Temeke Jijini Dar es salaam si ya kuridhisha baada ya kukabiliwa na uhaba wa miundombinu na kusababisha zaidi ya Wanafunzi 200 kusoma ndani ya chumba kimoja.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mkondongwa NASORO RASHID anasema shule hiyo kwa sasa haina madawati ya kutosha, madarasa  hali inayosababisha wanafunzi wengi kusomea chini ya miti na wengine kujazana katika darasa moja.

Mwalimu mkuu wa shule hiyo alipotakiwa kutoa ufafanuzi wa suala hilo hakuwa tayari kutoa ushirikiano kwa madai kuwa yeye si msemaji huku akifanya juhudi za kuwazuia waandishi wa Clouds kufuatilia tukio hilo.

Kitendo cha Mwalimu Mkuu kujaribu kuzuia Waandishi wa kituo hiki kufuatilia matatizo ya Shule hiyo kinamshangaza Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo ambae anasema kuwa haoni sababu ya Mwalimu kuchukua hatua hiyo wakati shule hiyo ikiwa na miundombinu ambayo hairidhishi.

Baadhi ya wazazi wameiambia Clouds fm kwamba matatizo yanayoikabili shule hiyo yanachangiwa pia na uongozi mbovu wa mwalimu mkuu huyo ambae hana ushirikiano na wazazi.

Swali la kujiuliza ni kwamba kama shule iliyoko jiji la Dar es salam inakuwa na wanafunzi wanaosomea chini kwenye sakafu na wengine kusoma chini ya miti, Je kwa shule za vijijini zitakuwa katika hali gani, ni vyema serikali ikalitazama hili kwa jicho la tatu.

Monday, January 26, 2015

ZIARA YA WAZIRI MKUU WA TAZNANIA MIZENGO PINDA NCHINI DUBAI 2014

Waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda alifanya ziara mwishoni mwa mwaka jana katika Nchi za falme za kiarabu (DUBAI) lengo ikiwa ni kutangaza fursa za uwezezaji hasa katika sekta ya utalii wa ndani nchini Tanzania katika ziara hiyo aliambatana na Waziiri wa Utalii Lazaro Nyalandu . fuatilia makala fupi ya safari yake msimuliaji ni Sophia Kessy.

Sunday, January 25, 2015

HAWA VIJANA NI HATARI SANA DAH SIJUI NI SEMEJE ILA WENYE BENDI MJIPANGE Yamoto Band ~ Nitakupwelepweta [Official Video]


HAYA kichupa kipya kabisa cha ya moto bendi wanakuambia mimi sio saizi yako Nitakupwelepweta bure haya ujumbe na burudani vimetulia sana mienawapa hawa vijana asilimia 100 ya burudanwe unawapa asilimia ngapi?.


ni vijana hatari sana kila ngoma kali wenye bendi haya ndio mapinduzi ya muziki sasa mjipange vijana wanaimba nyimbo fupi tamu na zenyekueleweka.

Thursday, January 22, 2015

MISS TANZANIA (2001) HAPPYNES MAGESE ACHEZA KAMA VIDEO QEEN KWENYE VIDEO YA BANKY WA NAIJA

Banky W - LowKey angalia jinsi mrembo wa Tanzania Happy ness magese alivyocheza kama video qeen enjoy the video.

THE PLACE TO BE ZANZIBAR PALUMBO HOTEL

The place to be Zanzibar ‪#‎Hotel‬ inaitwa PALUMBO ni jina la Kiitaliano...hotel ipo Zanzibar mkoa wa kusini Unguja kwenye ufukwe wa Uroa. ‪#‎Zanzibar‬ ooh Zanzibar the beautiful island of Africa Zanzibar ooh Zanzibar 


 fukwe murua na safi kabisa
 vijana wakiji enjoy ufukweni
 ukifika zenji hukose mambo haya ya misosi
 samaki unaemuona hapo ndio katoka kuvuliwa hapo anasubiri kupukwa
 mandhari safiii murua kabisa
 ukiwa na muda usingoje  kusimuliwa nenda kisiwa cha maraha ukajifariji na kuburudika
asante kaka Salum Mwinyi mkuu mdau wa blog hii kwa picha nzuri.
na wewe pia kama mdau ruhusa kabisa kunitumia picha za matukio mbalimbali kwa email yangu kessysophia@gmail.com nzazipokea na kupost karibu. 

Wednesday, January 21, 2015

YAPATE YA MKANDA UNAOJIFUNGA WENYEWE KIUNONI MAMBO YA TEKNOLOJIA HAYO

20140104_ces-unveiled_0096
Kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndio mambo yanavyozidi kubadilika hasa kwenye idara ya teknolojia mambo yamekuwa mambo kila siku tunashangawa na mengi maajabu ya teknolojia hasa sasa kutana na hii kali ya mwaka.


Teknolojia zinatupeleka mbali sana,
IMG_7136.0kupitiaTech talk  ya clouds tv na Sophia Kessy tumekuwa tukishuhudia mengi yanayohusu teknolojia
Leo kuna huu mkanda mpya kabisa, huna haja ya kuulegeza ama kuukaza, hayo yote unafanya wenyewe.
Mkanda huo uliobuniwa Paris unaweza kujirekebisha wenyewe kiunoni, ukila ukashiba huna haja ya kuuweka sawa, utakaa wenyewe size ya kiuno kilivyo, au unapokaa chini na kusimama kazi ni hiyo hiyo ndio unatoa mamcho mambo hayo mapya na adim.
Huu niubunifu wa Kampuni ya Consumer Electronics Show (CES). hawajasema utauzwa kwa bei gani.
246B8EA000000578-0-image-a-28_1420475576899
bpci64mva3keyigwwxmt
Smartphone app itakusaidia kurekebisha size ambayo unataka mkanda huo ujifunge.
belt
belty-2

belty3

IMG_7145.0

neb62kkoi9tjhknolitn
shuhudia kwa mamcho yako kwenye video hii kuona vizuri zaidi mkandaa huu uanza kutolewa awamu ya kwanza mwezi december kwa wanaume kisha awamu ya pili itakuwa ni kwa wanawake.


KIM KARDASHIAN ATUPIA FURKINI ILIYOBUNIWA NA MUMEWE KANYE WEST




Monday, January 19, 2015

NI MWAKA MMOJA SASA UMEPITA PUMZIKA KWA AMANI KOMLA DUMOR

Ni mwaka mmoja sasa tangu mtangazaji mashuhuri afariki dunia Komla Dumor alifariki tarehe 18 January 2014 akiwa nyumbani kwake huko London.
Nakumbuka vyema kipindi hiki nilikuwa huko na nilibahatika kuweka saini katika kitabu cha kuomboleza kilichopo pembeni ya picha yake .

Ni mwaka mmoja sasa tangu mtangazaji mashuhuri afariki dunia Komla Dumor alifariki tarehe  18 January 2014 akiwa nyumbani kwake huko  London. 
 Nakumbuka vyema kipindi hiki nilikuwa huko na nilibahatika kuweka saini katika kitabu cha kuomboleza kilichopo pembeni ya picha yake .

Komla alikuwa mtangazaji mahiri sana kutoka Ghana aliekuwa akifanya kazi katika shirika la utangazaji BBC London  hasa katika uwasilishaki wake wa taarifa ujasiri na ucheshi wake aliweza kuonyesha tofauti kubwa sana .
Komla pia alibadili mitazamo ya wengi kwa kuiweka afrika mbele lakini pia alivutia vijana wengi katika kazi yake viongozi mbalimbali ulimwenguni walimtambua kwa uhodari wake  wakiitazama afrika .

Nikinukuu maneno ya rais  wa  Ghana John Mahama aliyo andika kupitia mtandao wa kijamii wa twitter  alisema  "Dumor was one of Ghana's "finest ambassadors" and "was a broadcaster of exceptional quality and Ghana's gift to the world." Mwisho wa kunukuu  Hakika ni ukweli mtupu bado tunakukumbuka na tutakukumbula daima ulionyesha mfano kwa wanahabari wengi pumzika kwa amani Komla Dumor.

Komla alikuwa mtangazaji mahiri sana kutoka Ghana aliekuwa akifanya kazi katika shirika la utangazaji BBC London hasa katika uwasilishaki wake wa taarifa ujasiri na ucheshi wake aliweza kuonyesha tofauti kubwa sana .

Komla pia alibadili mitazamo ya wengi kwa kuiweka afrika mbele lakini pia alivutia vijana wengi katika kazi yake viongozi mbalimbali ulimwenguni walimtambua kwa uhodari wake wakiitazama afrika .

Nikinukuu maneno ya rais wa Ghana John Mahama aliyo andika kupitia mtandao wa kijamii wa twitter alisema "Dumor was one of Ghana's "finest ambassadors" and "was a broadcaster of exceptional quality and Ghana's gift to the world." Mwisho wa kunukuu Hakika ni ukweli mtupu bado tunakukumbuka na tutakukumbula daima ulionyesha mfano kwa wanahabari wengi pumzika kwa amani Komla Dumor.

KIAFRIKA ZAIDI KICHUPA KINGINE KIPYAA AFRICAN DANCE – NIKKI LAOYE & XBLAZ

Ijo!


kibao kipya kabisa kutoka katika albam yake mpya alioipa jina la  ‘The 123 Project’, mwanamuziki  Nikki Laoye akicheza ainambalimbali za uchezaji syles sijui naeleweka ni zile  maarufu za  dances  “African Dance”, ni mchanganyiko wa  skelewu, azonto na alanta.



Je ingekuwa wewe muafrika mwenzangu usiekubali kupitwa  ungeweza cheza stail hizi? basi burudika

Sunday, January 18, 2015

KICHUPA KIPYA TOKA NAIJA KINATOKA KWAKWE KCEE - TURN BY TURN

Omo nah turn by turn…
When Baba God say your time don come,
Then a star will be born”

 
The video for Turn by Turn was directed by Clarence Peters, and depicts Kcee in a grass to grace story – from a struggling musician saving up for studio time to a successful star – and other characters in difficult situations.
This seems to be a regular theme in recent Nigerian music videos, for example, Ojuelegba by WizKid in January 2015 and Loke Loke by Sean Tizzle in  September 2014.

Are you feeling the song/video?

PALE WENZETU WANAPO WIN KWA KUSHIRIKIANA JUSTN AMPA SUPORT MAYWEATHER

Justin Bieber Wearing Stacks Justin Bieber has been a great supporter of The Money Team. His influence transcends music boundaries into global acts of philanthropy and we love him for this. Keep up the great work JB!


Justin Bieber Wearing Stacks

WALIO NA 'MIPANGO YA KANDO' AKA (MICHEPUKO) MASHAKANI




Waswahili husema kwamba siku za mwizi ni arobaini.Msemo huo sasa huenda ukafanikishwa miongoni mwa akina baba ambao huenda kinyume na ndoa zao na wabakaji.


Hii ni baada ya kubuniwa kwa kifaa kwa jina Semenspy kilicho na uwezo wa kubaini majimaji yaliosalia katika chupi,nguo za kulalia,katika nguo na maeneo mengine baada ya mtu kuhusika katika tendo la ngono.

Kulingana na gazeti la the Nairobian nchini kenya,kifaa hicho pia kina mwongozo unaofanya mambo kuwa rahisi kwa wanandoa walio na shauku miongoni mwao.

Maagizo yake ni kwamba iwapo unamshuku mumeo ama mkeo tafuta majimaji hayo katika chupi ama nguo zilizotajwa hapo awali.

Kama kifaa cha kupima iwapo mwanamke ni mja mzito Semenspy kinaweza kubaini mara moja iwapo mtu ana uhusiano mwengine nje.

Kulingana na daktari Wachira wa DIY Solutions,kifaa hicho kimetengezwa Marekani.Wachira amebaini kwamba amefanikiwa kupata majibu sahihi kutoka kwa wanawake wanaotaka kujua iwapo waume zao na marafiki zao wa kiume wanawadanganya katika uhusiano.

Si rahisi kuwakamata wapenzi wanaodanganya kwa kuwa kunahitaji upelelezi zaidi na subra.
kwa kuwa kuna maji maji ya mbegu za kiume katika chupi ya mwanamume sio ushahidi kwamba mwanamume huyo anakwenda nje ya ndoa.


Swali ni vile utakavyoonyesha ushahidi kwamba maji maji hayo yanatoka kwa mwanamume huyo kwa kuwa mara nyingi wengi hutoa maji hayo bila ya kuhusika katika tendo la ngono.

Daktari Wachira ana shauri kwamba mwanamke anayemchunguza mumewe anafaa kukaa kwa mda bila kufanya mapenzi, ili kuweza kuchukua sampuli za maji maji hayo kutoka kwa nguo za mumewe ama mpenziwe.

Anasema kuwa violezi hivyo vinafaa kuchukuliwa mara tatu na kutoka nguo tofauti za mpenzi anayeshukiwa.

Anasema kwamba si kila mara kwamba maji maji ya mbegu za kiume humtoka mwanamume bila ya kufanya mapenzi kwa hivyo hhiyo haifai kuwa sababu ya mwanamume kujilinda.

mchepuko sio dili baki njia kuu waungwana.
 
chanzo cha habari ni BBC Swahili.

JEMBE NI JEMBE BEACH, NYEGEZI MWANZA

jembe ni Jembe beach Mwanza
  Ni Picha zilizopigwa mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka jana na kaka yangu mtembezi wa Tembea tanzania kwenye kiota cha maraha bin burudani  kinachokonga maraha katika jiji la Mwanza. Ni Jembe ni Jembe beach iliyopo maeneo ya Nyegezi, nje kidogo ya jiji la Mwanza. Kiota hiki cha maraha kipo karibu na Chuo cha Mtakatifu Augustine campus ya Nyegezi.



jembe ni Jembe beach Mwanza

jembe ni Jembe beach Mwanza

jembe ni Jembe beach Mwanza
 Upande wa Ziwani

picha na maelezo kwa hisani ya Tembea tanzania ukitaka kufaidi zaidi tembelea blog mahiri ya utalii wa hapa nyummbani http://tembeatz.blogspot.com/2015/01/jembe-ni-jembe-beach-nyegezi-mwanza.html#more 
enjoy .

WAWILI HAWA WAPENDANOA IRINA SHAYK & CRISTIANO RONALDO WATENGANA KISA NA MKASA?


 Mwana Soccer  mahiri ulimwenguni Cristiano Ronaldo karejea sokoni kina dada mpo all single ladies kazi kwenu ha ha ha ha  mtajuta mtampataje ? ila kwa sasa jamaa inadaiwa yuko single!


Mwanasoka huyo ambae alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mpenzi wake wa sikunyingi  ambae pia ni mwanamitindo  Irina Shayk, yadaiwa wameachana kwa sasa .

"We can confirm Irina Shayk has ended her relationship to Cristiano Ronaldo of five years. "yasemekana".......

Friday, January 9, 2015

YES MIMI MAMA WA BLOGGER

#no filter redy for news lets be together from 19.30 on Clouds Tv am your host Sophie kessy.

Menu za Kihabeshi; Addis in Dar Restaurant

 



 

Menu za Kihabeshi Addis  restaurant  tembelea kuona mengi  Picha kwa hisani ya tembea Tanzania blog 

TECH TALKTHIS WEEK MAMBO YA TEKNOLOJIA

UTALII WA NDANI TANZANIA YAPENDEZA







MMOJA YA WADAU WANGU MIKE ELSON WA ARUSHA ALIE NITUMIA PICHA AKIWA KATIKA UTALII WA NDANI MAMBO YA KATAVI MIKE NI MDAU NA MFANYA KAZI WA TOUR MMOJA MJINI ARUSHA . THANK YOU MIKE ELSON.

Delicious Catering Options Across Dar es salaam by Bawarchi Restaurant

Bawarchi Multi Cuisine Restaurant offers unique dining experience, serving innovative Indian, Chinese, African & Continental cuisines in an elegant Makuti setup. We offer first class food catering services across Dar es Salaam.
For enquiries, contact us at: +255 682 889 646 | info@bawarchitz.com.