Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Sunday, March 15, 2015

SHABIKI NAMBA MOJA WA KOFII OLOMIDE MWANAMAMA KISI NDJORA WAKATI ALIPOACHIWA HURU.



Hatimae KISI NDJORA yuu huru baada yakupewa msaada kutoka kwa mawakili wa koffi olomide.
JB MPIANA ndie aliekua wakwanza kumfungulia mashitaka kisi ndjora kwakosa la kumpakazia mambo yasiokua na ukweli wowote, baada ya kutafakari, jb mpiana kupitia mawakili wake, kaiomba mahakama jijini kinshasa imfutie kisi ndjora kesi.

Wakati akiachiwa huru kutokana na kesi ya JB MPIANA, fally ipupa kwaupande wake, kaja pia kumfungulia mashitaka kisi ndjora,kashutumiwa kosa la kumtukana , kumtishia maisha fally ipupa…

Izingatiwe yakwamba katika mzozo ulioko kati YA JB MPIANA na KOFFI OLOMIDE, kisi ndjora yeye ni mpambe namba moja wa koffi olomide, kwakutaka kumuumiza zaidi jb mpiana, kamtupia khashfa mbaya kwakusema, alimuharibu mmoja kati ya wanenguaji wake na kumpa mimba , binti anaejulikana kwa jina la ” mwanatsuka ” ambae kiumri bado mdogo chini ya miaka 16.


Ingawa kisi ndjora anao muonekano wakiume, bali ni mwanamke na anaishi na mwanaume, ana watoto hadi wajukuu!!!
Kwa hisani ya sport na starehe. By Pius

No comments:

Post a Comment