Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Wednesday, June 26, 2013

WANAPOPISHANA WASICHANA KWA WAVULANA @ HUGEUKA KUANGALIA NINI???

vitu vingine huwa ni vya kujiuliza tu hivi umewahi kujiuliza sikumoja labda umekatiza mitaa Fulani Fulani mkakutana na wasichana kwa wavulana labda katika pitapita zenu au hata kama uko pekeyako umewahi kufahamu ni kwanini vijana hugeuka hata kama umesimama ukasalimiana nae bado ukiondoka mkipishana tu lazima ageuge .

kama huja experience basi jaribu sikumoja mie huwa najiuliza huwa wangeuka kuangalia nini hasa???... ha ha ha ha lol dunia ina mambo ....

@ kina kaka hebu tuzungumze # girls talk...

No comments:

Post a Comment