Anae kataa na aseme leo kwamba huyu sie Rafiki wakweli !!!!!!??? (KITANDA)
umewahi kujiuliza ni mambo magapi umeyafanya ukiwa Nyumbani tena kitandani kwako chumbani na hata sikumoja kitanda hicho A.K. A BED hakijawahi kukusaliti au kukusema vibaya nje ya hapo au hata kumweleza mgeni wako kwamba jana ulifanya nn??????!!! ha ha ha ha ha nacheka maana nimegundua kuwa huyu ndie Rafiki wa kweli maana hata ulale bila nguo kitanda chako hakiwezi kusema kwa yeoyote au kikasema lolote kamwe hakitakusaliti. anaebisha aseme.
No comments:
Post a Comment