TATOO ZA AINA MBALI MBALI ZINACHORWA HAPO BLUE PALACE SALOON SINZA MAPAMBANO
KINA KAKA HAYAAAA KILA MMOJA SIKUHIZI ANAPENDA KUTOKA KIVYAKE NA TATOO ZA AINA YAKE
HYO JEE WATAALAM WAKUTOSHA TOKA NDANI NA NJE YA NCHI NDIO WANAOFANYA KAZI HIZO
CHIPEPEO MGUUNI DAH RAHAAAA
HAYA WEEE
KAZI NI KWAKO
WANAKOMAJE????!!!!
KINA KAKA HAYAAAA KILA MMOJA SIKUHIZI ANAPENDA KUTOKA KIVYAKE NA TATOO ZA AINA YAKE
HYO JEE WATAALAM WAKUTOSHA TOKA NDANI NA NJE YA NCHI NDIO WANAOFANYA KAZI HIZO
CHIPEPEO MGUUNI DAH RAHAAAA
HAYA WEEE
KAZI NI KWAKO
WANAKOMAJE????!!!!
I get sick!!! hicho kichina kilichoandika kwenye mgongo huyu aliyeandikiwa anajua maana yake?....km hizi tatoo ni permanent, siku akiichoka au akigundua is not what he/she wanted atafanyaje? kata mkono....fanya operation? maamuzi mengine yanahitaji sana busara nyiiingiii!!!
ReplyDelete