Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, February 18, 2013

SAFARI YA KISIWANI MBUDYA ILIVYOKUWA

SORRY FRIENDS I HAVE BEEN SO BUSY WITH STUDIES AND WORK NDIO MAANA NACHELEWA KUWEKA PICHA ZA MATUKIO KISIWANI MBUDYA PLZ NAOMBA MNIVUMILIE WHEN I GET TIME SOON WILL PUT MORE PICS NA HABARI ZAIDI LOVE YOU ALL ENJOY.


 taratibu tukaanza kusogea
 dogo langu merry kessy na yeye alijumuika na ma single girls kuenjoy kisiwani mbudya
 hapa tukielekea kufuata boti kubwa inayoonekana pichani chini


 baba jonii hakukosekana Adam Mchomvu na yeye yumo
 misosi pia ilikuwepo
 aah mie nikapozi kupata upepo
 kimodo nae muoga ndani ya life jacket

 waliobaki wali lala kisiwani humo 
 raha jipe mwenyewe ukisubiri kupewa utazeeka bila kuzipata

 sitii neno hapo kilaji

 kisiwa cha ukweli
 mtu na dada yake




PICHA ZAIDI NIKIPATA TU TIME NITAZIWEKA THANKX

1 comment:

  1. Saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafiiiiiiiiiii...
    SIMBA SINDBAD

    ReplyDelete