Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, August 24, 2012

BIBI VERONICA MPANGALA AIBUKA MSHINDI WA BIBI BOMBA


Fainali za bibi bomba zilikamilika usiku wa jana katika viwanja vya ofisi za Clouds Fm na Tv, ambapo kati ya mabibi nane waliokuwa wameingia fainali, hatimae walipatikana washindi wawili walioondoka na mkwanja mrefu. Bi Veronica Mpangala wengi wanamjua kama tukinaaaooo ambae alikuwa ni mmoja kati ya mabibi waliokuwa wakifurahisha sana kwenye mjengo kwa ucheshi wakendie aliekuwa mshindi namba moja na kuondoka na shilingi milion 5 akifatiwa na mshindi wa pili aliechukua shilingi milioni tatu








No comments:

Post a Comment