Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, August 24, 2012

YANAYOJIRI KATIKA AMSHA AMSHA YA FIESTA TANGA

Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mjini Dr Msengia akiaga baada ya kuitembelea timu Serengeti Fiesta 2012 Mkoa wa Kilimanjaro jioni ya leo. Katikati ni Erick ambae ni Mzalishaji wa timu ya Fiesta mkoani humo..Fiesta 2012..Bhaaaaaaaas!!


Gossip Cop akipiga stories na Fan pande za Tanga katika Amsha Amsha za Fiesta 2012..Fiesta Itafanyika Jumapili 26/8/2012 ndani ya Mkwakwani Stadium..Fiesta 2012..Bhaaaaaaas!!

AD+ Baba Jonii akiwa na na wana wa Tanga 

Adam, Diva na Wana wa Tanga

Vijana wa Tanga wakionyesha How They Can do it..Elimisha Burudisha Through This We can Teach How We Do It..

Gossip Cop Soudy Brown na Diva Loveness Love 


No comments:

Post a Comment