Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, August 24, 2012

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII BALOZI KHAMIS KAGASHEKI AENDELEA NA MKUTANO WA TISA WA SULLIVAN, MALABO EQUATORIAL GUINEA



Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kulia) akiwa na Rais Mstaafu wa Ghana Bw. John Kufuor mjini Malabo, Equatorial Guinea (Picha na Pascal Shelutete)
 Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Ghana, John Kufuor ambapo walizungumzia masuala mbalimbali ya kuimarisha Utawala Bora katika nchi za kiafrika. Aidha, Rais Mstaafu Kufuor alitumia fursa hiyo kumshukuru Rais Jakaya Kikwete aliyefika nchini Ghana kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo John Atta Mills na kusema kuwa ni ishara ya uhusiano wa kidugu uliopo baina ya Tanzania na Ghana tangu enzi za waasisi wa mataifa haya Kwame Nkrumah na Mwalimu Julius Nyerere. (Habari Picha na Pascal Shelutete) 

No comments:

Post a Comment