Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, January 19, 2015

NI MWAKA MMOJA SASA UMEPITA PUMZIKA KWA AMANI KOMLA DUMOR

Ni mwaka mmoja sasa tangu mtangazaji mashuhuri afariki dunia Komla Dumor alifariki tarehe 18 January 2014 akiwa nyumbani kwake huko London.
Nakumbuka vyema kipindi hiki nilikuwa huko na nilibahatika kuweka saini katika kitabu cha kuomboleza kilichopo pembeni ya picha yake .

Ni mwaka mmoja sasa tangu mtangazaji mashuhuri afariki dunia Komla Dumor alifariki tarehe  18 January 2014 akiwa nyumbani kwake huko  London. 
 Nakumbuka vyema kipindi hiki nilikuwa huko na nilibahatika kuweka saini katika kitabu cha kuomboleza kilichopo pembeni ya picha yake .

Komla alikuwa mtangazaji mahiri sana kutoka Ghana aliekuwa akifanya kazi katika shirika la utangazaji BBC London  hasa katika uwasilishaki wake wa taarifa ujasiri na ucheshi wake aliweza kuonyesha tofauti kubwa sana .
Komla pia alibadili mitazamo ya wengi kwa kuiweka afrika mbele lakini pia alivutia vijana wengi katika kazi yake viongozi mbalimbali ulimwenguni walimtambua kwa uhodari wake  wakiitazama afrika .

Nikinukuu maneno ya rais  wa  Ghana John Mahama aliyo andika kupitia mtandao wa kijamii wa twitter  alisema  "Dumor was one of Ghana's "finest ambassadors" and "was a broadcaster of exceptional quality and Ghana's gift to the world." Mwisho wa kunukuu  Hakika ni ukweli mtupu bado tunakukumbuka na tutakukumbula daima ulionyesha mfano kwa wanahabari wengi pumzika kwa amani Komla Dumor.

Komla alikuwa mtangazaji mahiri sana kutoka Ghana aliekuwa akifanya kazi katika shirika la utangazaji BBC London hasa katika uwasilishaki wake wa taarifa ujasiri na ucheshi wake aliweza kuonyesha tofauti kubwa sana .

Komla pia alibadili mitazamo ya wengi kwa kuiweka afrika mbele lakini pia alivutia vijana wengi katika kazi yake viongozi mbalimbali ulimwenguni walimtambua kwa uhodari wake wakiitazama afrika .

Nikinukuu maneno ya rais wa Ghana John Mahama aliyo andika kupitia mtandao wa kijamii wa twitter alisema "Dumor was one of Ghana's "finest ambassadors" and "was a broadcaster of exceptional quality and Ghana's gift to the world." Mwisho wa kunukuu Hakika ni ukweli mtupu bado tunakukumbuka na tutakukumbula daima ulionyesha mfano kwa wanahabari wengi pumzika kwa amani Komla Dumor.

No comments:

Post a Comment