Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tuesday, June 19, 2012

NILIANDIKA KUOMBA MSAADA WA TATIZO LA KULA KUCHA KWA BAADHI YA WATU KWENYE UKURASA WANGU WA FACEBOOK NA HAYA NDIO MAJIBU!!


KWA NINI BAADHI YA WATU HASA WANAUME WANAPENDA KULA KUCHA!!! JE NI UGONGWA AU NAOMBA MNISAIDIE KUFAHAMU MNAOFAHAMU ......JAMBO HILO LINA NIKERA NIMEONA MARAFIKI ZANGU KADHAA WAKILA KUCHA MPAKA ZIMEKUWA HIVYO JAMANI MA DOCTOR NA WATAALAM WA MASWALA YA AFYA NINI TATIZO NA NINI TIBA YAKE???? HEBU TUWASAIDIE WENYE TATIZO HILO!!
· ·

  • Stella Meshack and 2 others like this.

    • Chuma Salum mmh! afu ungeona zangu ndo ungenionea huruma,,sijui nifanyeje ili niache!
      14 minutes ago ·

    • Munyama Mukubwa Kamba Fedha Mi pia ni muathirika wa hyo k2 na wakat mwngne napambana na hyo hali lakn najkuta 2 kdole kshafka mdomon na nakata kucha kwa meno.. Nshawah kuulza sehem nkaambiwa huo ni ugonjwa na cwez kupona coz ni automatic kama yalivyo mapgo ya moyo. Kiukwel kuna wakat najichukia.
      11 minutes ago ·

    • Abdul Noor Sophia km dizaini ya u-gaysh flani kwa wanaume nadhani kuna tatizo
      11 minutes ago ·

    • Sophie Kessy CHUMA POLE SIO WEWE PEKE YAKO MIE NIMEONA MARAFIKI WENGI SASA NAJARIBU KUULIZA COZ FACEBOOK INA WATU WENGI WANAFAHAMU MAMBO MENGI LABDA WANWEZA KUTUSAIDIA KUPATA JIBU ILI TUWASAIDIE NA WENZETU MARAFIKI NAJUA FIKA HAWAPENDI ILA WAMEZOEYA SASA KAMA UNAVYOJUA MAZOEYA NI MABAYA TIBA YAKE NDIO LA MSINGI MWENYE KUFAHAMU TAFADHALI ATUSAIDIE.
      10 minutes ago ·

    • Haika Mcharo tatizo hawapendi urembo.Kucha ni sehemu ya urembo.Alafu wanawaponda akinamama na akina dada wanaokaa kusafisha kucha hasa sehemu za wazi kama Mwenge. Hata siwaonei Huruma.Acha waendelee kula wanaposikia njaaa
      9 minutes ago ·

    • Elijah Wa-Elijah ha hahahaha hsina comment...ila kwa ufupi hawapendi uchafu!!!
      9 minutes ago ·

    • Ulimboka Hosea Jaman sijui niseme n mazoea coz unajikuta vdole vpo mdomon tu coz cdhan kama n ugonjwa au la hasha
      9 minutes ago ·

    • Sophie Kessy TAFADHALIMADAKTARI WOTE I KNOW NINA MARAFIKI MADAKTARI WENGI TU HUMU NDANI HEBU SAIDIENI JAMANI WATU WANAMALIZA KUCHA KWA KUZITAFUNA TATIZO NINI NA TIBA YAKE PLZZZZZZZZZZ! AU MPAKA TUANZISHE KAMPENI YA (OKOA KUCHA)!!!!! KHE
      6 minutes ago ·

    • Json Swag Hiyo ni sababu ya njaa, maana utaona mwanaume katoka na duu, duu yeye anakula chips kuku thn mwanaume anatafuna kucha...hyo ni kwa utaaramu binafsi!!!
      5 minutes ago ·

    • Stella Meshack Nafikiri ni pozi tu, ila inakera zaidi ya kukera
      4 minutes ago ·
  • Sistus Basil siyo ugonjwa hata mimi hupenda kutafuna kucha, hata mwanangu wa kwanza, hii inatokana na wepesi wa kucha nyingine ni laini mno kama zangu hasa nikifua zote hukatika
 
Noah Mwandisi MMOJA WAO NI MIMI NAPENDA SANA KULA KUCHA NISAIDIENI JAMANI
2 minutes ago ·
  • Levina Maleo Bora umeliona Sophy, kusema ukweli hili suala huwa linanikera sana jamani ebu mjaribu kuacha plz
    about a minute ago ·
  • Stella Meshack Kwani unaumwa Noah Mwandisi??
    about a minute ago ·
  • Elina Lutainulwa mi si doctor ila nafikiri hii ni tabia ya mtu aliyoianza toka utotoni,hakuianza ukubwani,na hivyo basi inakuwa ni psycological prblm si rahisi mtu aweze kuiacha kiharaka sana bali taratibu kwa kuikataa hiyo hali na kuifanya mikono kuwa busy ol da tym asipate muda wa kula kucha
    a few seconds ago ·
  • KAMA UNAWAZO LOLOTE AU NA WEWE UNAELEWA TIBA HEBU TUWASAIDIE WENYE TATIZO HILO TAFAHALI..

    No comments:

    Post a Comment