Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tuesday, June 5, 2012

VICTORIA FOUNDATION YATOA MSAADA WA BAISKELI KWA WALEMAVU MKOANI GEITA KATA YA BUSANDA

Mwenyekiti wa Victoria Foundation,ambaye pia ni mbunge wa Viti Maalum Vicky Kamata ametoa msaada wa baiskeli kwa walemavu 30 katika wilaya za Nyakamwaga na Bukoli zilizopo mkoani Geita,











No comments:

Post a Comment