Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tuesday, February 7, 2012

BENDI YA MASHUJAA MUZIKA YAFUKUZA KAZI WANAMUZIKI WAKE 10


baada ya kumchukua Charles,baba aliekuwa mwanamuziki wa twanga pepeta na 33 wa Fm cademia. Bendi ya mashujaa musica ambayo inaongozwa na Mashujaa entertainment wiki hii imetoa kali ya mwaka kwa kuwafukuza kazi wanamuziki wake takriban 10 waliokuwa wakongwe wa bendi hiyo akiwemo raisi wa zamani wa bendi hiyo Jado fidfors, Manager mpya wa bendi hiyo Max amezungumza na kipindi cha mama land juu ya sakata hilo na kwanini wanamuziki hao wamefukuzwa mbali ya raisi wa zamani wa bendi nani wengine waliofukuzwa kazi??

No comments:

Post a Comment