Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, February 20, 2012

Mechi ya Yanga V/S Zamaleki ilinoga sana

 mie na shosti mama ya 3leee DDDDDD aha ha ha Claraaa hapana chezea yeye
 bi dada tulipowasili lango kuu ya uwanja wa taifa
 yanga nyanga nyanga nyanga nyana ndivyo ilivyokuwa uwanjani

 uwanjani Iren uwoya na mumewe ndikumana nao walikuwepo uwanjani
 shoati wa primetime promotion akishangilia goli la yanga
 hapa kandanda likisukumwa.
 wera yanga hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
hivi ndivyo ilivyokuwa uwanja wa taifa baada ya mie na mashost na marafikisto kutinga kwenda kusuport timu ambayo naipenda sana ya Dar es saalam young africans katika mechi waliokuwa wakicheza siku ya jumamosi hakika ilikuw ani burudani asante sana wana yanga kwa kujitahidi na hatimae kutoka sare dhidi ya Zamalek ya Misri.

No comments:

Post a Comment