Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, November 5, 2012

MISS TANZANIA 2012-2013

 Brigette Alfred kutokea Kanda ya Kinondoni (Sinza).Akiwa amewabwaga wenzake 29 waliokuwa wakiwania taji hilo.Na kujipatia zawadi yake ya Gari aina ya Noah na pesa taslim Tsh ml 8.Hongera sanaaaaa!!

No comments:

Post a Comment