Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Saturday, November 3, 2012

Rais Kikwete azindua rasmi Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela - Arusha (NM-AIST)‏

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi  Hati ya Ardhi ya eneo la   Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali ambaye ndiye Mkuu wa Chuo hicho katika sherehe za uzinduzi wake rasmi  Ijumaa Novemba 2, 2012. Kulia ni Makamu Mkuu wa Taasisi hiyo Profesa Burton Mwamila.




 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi toka kwa Makamu Mkuu wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Profesa Burton Mwamila  jijini Arusha. Kushoto ni  Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali ambaye ndiye Mkuu wa Chuo hicho katika sherehe za uzinduzi wake rasmi  Ijumaa Novemba 2, 2012.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012. 

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua sanamu ya Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini Mzee Nelson Mandela  wakati wa uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012. 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe  wakati wa uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012. Pamoja naye ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali ambaye ndiye Mkuu wa Chuo hicho, WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa Burton Mwamila, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe Magessa Mulugo, 


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela. Kulia ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali ambaye ndiye Mkuu wa Chuo hicho katika sherehe za uzinduzi wake rasmi  Ijumaa Novemba 2, 2012.


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya utafiti wa dawa asilia toka kwa Meneja Mauzo wa kampuni ya madawa asilia ya Moringa Natural Products Bi. Christina Ngoty wakati wa  uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya utafiti wa mitishamba toka Dkt Efrem Akilei Njau wakati wa  uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari wakati   uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Gavana wa Benki Kuu wa zamani Mzee Edwin Mtei  wakati   uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012.
Wageni waalikwa wakimshamgilia Rais Kikwete baada ya kuzindua rasmi  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha za pamoja wakati wa  uzinduzi rasmi wa  Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela  jijini Arusha  Ijumaa Novemba 2, 2012.

No comments:

Post a Comment