Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tuesday, November 13, 2012

NDANDAA KOSOVO ASEMA YEYE NI MKALI KULIKO FM ACADEMIA ILA WAO WAMEMZIDI KWA MKOROGO NA KUVAA WIGI

MWIMBAJI mwenye asili ya Kikongo mwenye wingi wa vituko, Ndandaa Kosovo amesema yeye ni msanii mkali kuliko yeyote yule ndani ya FM Academia na kwamba hata kimataifa bendi yake ya Watoto wa Tembo iko matawi juu kuliko Wazee wa Ngwasuma.
Akiongea na mtandao wa Salut Ndandaa alisema FM Academia ambayo ni bendi yake ya zamani imemzidi kwa vitu vitatu: Kujichubua, kuvaa wigi na kuiba majina ya wanamuziki maarufu.

habari kwa hisani ya salut

No comments:

Post a Comment