Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, June 5, 2015

SHIRIKISHO LA SOKA SOKA NCHINI TFF LAADHIMISHA MIAKA 50 TANGU TANZANIA KUJIUNGA NA FIFA



Jana wakati shirikisho la soka nchini TFF linaadhimisha miaka 50 tangu tanzania kujiunga na FIFA, mbali ya kuzindua jezi za timu ya taifa, zilitoa tuzo mbalimbali kwa watu waliotoa mchango katika taasisi hiyo.

Miongoni mwa waliopata tuzo hizo ni mtangazaji wa zamani wa mpira Willy Chiwango ambaye aliambatana na timu ya Taifa ilipofuzu michuano ya Afrika kwa mara ya kwanza na mwisho.

Willy Chiwango anazungumzia sababu za timu yetu kutokufanya vizuri kama ilivyo enzi hizo.

Wakati TFF inaadhimisha miaka 50 thamani ya wachezaji wa mpira wa miguu imekua kubwa hadi kufikia mchezaji kusajiliwa kwa zaidi ya million hamsini…hivi thamani ya wachezaji hao inaendana na ukuaji wa soka nchini.

No comments:

Post a Comment