Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, October 6, 2014

BREAKING NEWS RAIS KENYATA ASEMA YUKO TAYARI KWENDA ICC




habari za hivi pinde zinasema kuwa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema yuko tayari  kwenda katika mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kikao maalum kuhusu kesi inayomkabili.

kama utakumbuka ni kwamba Rais Uhuru Kenyatta alitakiwa na majaji wa mahakama hiyo kufika ICC tarehe 8 mwezi huu.

Hatimae amekubali na yaonyesha kwamba anandika historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kwenda ICC

No comments:

Post a Comment