Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Thursday, October 9, 2014

MCHANGANYIKO HUU SIO MCHEZO PAPA WEMBA FT BARBAR KANAM









Mie 
sikuzote huwa nafurahishwa sana na kazi za Papa Wemba ni Mzee ambae hakika amejitahidi sana kushirikisha vijana wengi wadogo katika muziki na kufanya muziki kuwa mtamu zaidi mzee ambae anakubalikubadikika kulingana na mazingira kama unakumbuka alifanya wimbo mmoja mkali sana na mwana dada aliekuwa kundi la MAKOMA  namzungumzia NATALIE MAKOMA sasa tena amevunja ukimya baada ya kufanya ngoma kali na mwana dada anaejiita Malkia wa muziki kwa sasa BARBAR KANAM hebu enjoy


No comments:

Post a Comment