Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Sunday, October 26, 2014

#TOP10MostGameChangers DIAMOND PLATNUMZ AMETAJWA KWENYE ORODHA HYO

DIAMOND PLATNUMZ AMETAJWA KWENYE ORODHA YA WASANII KUMI WA AFRICA WALIOFANYA MABADILIKO

   Mkali wa Ngoma ya "Mdogo Mdogo" Diamond Platnumz ametajwa kwenye Orodha ya wasanii Kumi Afrika waliofanya Mabadiliko (Top10 Most Game Changers).


Orodha hiyo imetolewa week hii kwenye Kipindi cha Top10 Most kinachoendeshwa na Joketi Mwengelo na Ice Prince kutoka Nigeria, Diamond Platnumz ameshikilia namba 10 pamoja na Fally Ipupa. Hii ndio List nzima 
1. 2face Idiba 
2.Boom Shaka 
3.D banj  & Don Jazzy 
4.K'naan -
5.Banky W  & Psquare 
6.Dj Jimmyyat & Dj Waxxy
7.Tiwa savage  & Wizkid ayo 
8.Ice Prince - Nigeria & Naetoc 
9.Mafikizoro & Mr. Flavour
10.Diamond Platnumz & Fally Ipupa

No comments:

Post a Comment