Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Sunday, October 12, 2014

DOLA BILIONI 4 ZAHITAJIKA KUIJENGA GAZA MPYA MKUTANO WA KUIKARABATI WAANZA MJINI CAIRO

Wafadhili wamekusanyika mjini Cairo, Misri ili kujadili misaada inayohitajika kwa ajili ya kukarabati Ukanda wa Gaza ulioharibiwa katika mashambulizi ya hivi karibuni kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel.




Mamlaka ya Ndani ya Palestina imesema kuwa dola bilioni 4 zinahitajika kwa ajili ya kujenga tena Ukanda wa Gaza. 

No comments:

Post a Comment