Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Saturday, October 18, 2014

MWANAMUZIKI WA KIMATAIFA T I AMETUA BONGO TAYARI KWAAJILI YA SERENGETI FIESTA 2014 LEO USIKU SAMBAZA UPENDO


Fiesta 2014 ni Sheedah. Sambaza upendo.
Kwa mara ya kwanza Serengeti Fiesta inakupa urahisi wa kufika eneo la tukio na kusambaza upendo.
Uhitaji kuuliza ni wapi. Ni pale pale Leaders Club.
Sasa mpango mzima umekaa hivi: Serengeti Fiesta inakupa usafiri wa BUREEE wa mabasi ya UDA kwako mkazi wa Dar es salaam. Vituo vya usafiri ni kama hivi: Kariakoo Big Bon, Magomeni Hospitali na Mwenge Puma Petrol Station. Mabasi ya yatakuwepo kuanzia saa 12 Jioni na yatakuwa na mabango ya fiesta. Na usafiri huu utakuwa ni kwenda na kurudi.
Fiesta 2014 ni Sheedah.



No comments:

Post a Comment