Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, October 13, 2014

HONGERA SANA STEVE R&B KWA KUPATA JIKO

PICHAKWA HISANI YA MILLARD AYO BLOG
Ni mwanamuziki wa bongofleva ambae ameweza kutikisa na nyimbo kama Tabasamu  aliyoshirikiswa na Mr Blue siku ya  October 11 mwaka  2014 ameamua kujinyakulia jiko na kufunga  ndoa takatifu katika kanisa la Word Alive Sinza Mori Dar es salaam….
 
 Steve na mke wake Easter. hawajaishana sana kiumri ambapo Steve ana umri wa miaka 28 na mke wake Easter ana umri wa miaka 25.
 yasemekana kuwa Wawili hawa walianza kuwa pamoja kwenye uhusiano wa kimapenzi toka wakiwa High School miaka nane iliyopita shuleni St. Mathew kisha walikwenda wote chuo IFM na kusoma pamoja.
pongezi nyingi kwenu kwa uamuzi mzuri na wabusara mliochukua kila la kheri Ester na Steve kwa kufunga ndoa daima mtangulizeni MUNGU kwa kila jambo mfanyalo.

No comments:

Post a Comment