Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Wednesday, October 31, 2012

HIKI NDICHO ALICHO KIANDIKA MBUNGE ZITTO KABWE KATIKA UKURASA WAKE WA FACEBOOK LEO

"Waziri wa Fedha amekubaliana na ombi langu la kufanya uchunguzi maalumu kuhusu fedha jumla ya tshs 25bn zilizochukuliwa na hazina kutoka Halmashauri zote nchini. Jibu la Serikali halikukidhi haja maana lilijibu mwaka wa fedha 2011/12 badala ya 2010/11. Kuna haja kubwa ya kuziba mianya ya ubadhirifu wa fedha za umma."

No comments:

Post a Comment