Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, October 5, 2012

hongera sana Joseph Chintika kwa kushinda vyema



Joseph Chitinka

Alikuwa akigombea nafasi ya -Mjumbe wa mkutano mkuu CCM Taifa 2012-2017 kupitia UVCCM Dodoma

ameshinda kwa kura  215,Fatuma Issa kura 160,Ally Barongo kura 73.

Uzoefu wake katika Uongozi ni
-Mjumbe wa baraza la UVCCM mkoa wa Dodoma 2008-2012
-Mwenyekiti wa Tawi la St Johns University of Tanzania 2007-2010
-mjumbe wa halmashauri kuu ya tawi St johns University of Tanzania

Kazi nyingine anazofanya ni
-Mwenyekiti wa NGOs iitwayo Tanzania youth Capacity building
 

No comments:

Post a Comment