Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, October 29, 2012

WANACHAMA WA UMOJA WA VIJANA CCM UV-CCM WATWANGANA NGUMI

 

Wanachama wa Umoja wa Vijana wa CCM (UV-CCM), wakiwa wamesimama na mabango makao makuu ya umoja wa vijana ccm kumpinga   kwa  Mwenyekiti mpya wa Taifa wa Umoja huo, Khamis Sadifa Juma na viongozi wenzake,  wakati alipowasili  makao makuu ya umoja huo jijini Dar es Salaam , akitokea mkoani Dodoma alipochaguliwa kushika nyadhifa hiyo.
Mwanacha wa (UV-CCM) katikati akiwa amekamatwa na wanachama wenzie kwa tuhuma za kupinga kwa mwekiti mpya 
Mmoja wa wanachama (UV-CCM)akipata kichapo kutoka kwa wanachama wenzake 

PICHA NA PHILEMON SOLOMON

No comments:

Post a Comment