Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, October 12, 2012

Wanawake kurithi Mali Botswana


Wanawake wamekuwa wakinyimwa nafasi ya kurithi Botswana
Mahakama kuu nchini Botswana imebatilisha sheria ya kitamaduni ambayo iliwazuia wanawake kurithi mali nyumbani.

Mahakama imesema kuwa kanuni hiyo ya kitamaduni inakiuka sheria ya katiba inayosisitiza usawa kwa wanaume na wanawake.

Mwandishi wa BBC mjini Gaborone, anasema kuwa uamuzi wa jaji Key Dingake, sasa inaileta katika safu moja sheria ya utamaduni na katiba ya nchi.

Alisema kuwa lazima pawepo usawa kati ya wanawake na wanaume kuhusiana na swala urithi.

No comments:

Post a Comment