Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tuesday, October 30, 2012

Kimbunga Sandy chatikisa Marekani watu takriban milioni 50 kukosa makazi


Kimbunga Sandy kilianza kupiga kutoka nchini Cuba wiki iliyopita ambako ilisababisha vifo vya watu karibia ishirini


Maafisa katika idara ya hewa nchini Marekani wamesema takriban watu milioni hamsini wataathiriwa na kimbunga hicho

No comments:

Post a Comment