Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Thursday, October 25, 2012

NYUMBA YA KATIBU WA BAKWATA YASHAMBULIWA KWA BOMU NA KUJERUHIWA VIBAYA SANA

Katibu wa BAKWATA mkoani Arusha bwana AbdulKarim Jonjo usiku wa kuamkia leo amelipuliwa kwa bomu nyumbani kwake eneo la Esso jijini Arusha. na yadaiwa kuwa hali yake ni mbaya ambapo amelazwa katika hospitali ya Mount Meru.

No comments:

Post a Comment