Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Thursday, October 25, 2012

NAIBU WA ZIRI WA ELIMU AKIRI KUFANYA MAKOSA NA KUSEMA ALITELEZA ULIMI .

 ‘MAKOSA’ YA WAZIRI MULUGO NI YA BAHATI MBAYA AU UFAHAMU MDOGO?
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo akiendelea kuwasilisha hotuba yake.
Naibu waziri wa Elimu amekiri kuwa amekosea na aliteleza ulimi kwasababu aliekuwa ametoka kuhutubia ni kiongozi wa Zimbabwe basi ni kwa bahati mbaya na hakumaanisha kabisa kusema hayo aliteleza ulimi tu Mwisho wa kunukuu

No comments:

Post a Comment