Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Monday, October 29, 2012

KIJANA WA JAHAZI LA CLOUDS FM ARNOLD KAYANDA NA ANITHA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA


 Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi ndani ya Radio Clouds FM, Arnold Kayanda akiwa pamoja na mke wake Anitha wakati wakiingia kwenye hafla ya Ndoa yao iliyofanyika kwenye Viwanja vya Karemjee, jijini Dar es Salaam.
 Bw. Arnold Kayanda na Bi. Aneth Kayanga wakilishana keki.
 Maharusi wakikata keki.
PICHA KWA HISANI YA KAJUNA SON

No comments:

Post a Comment